Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,422
Happy Valentine y'all. . .
Mine was quite memorable. . .I hope yours went well!!
Nwy wakati mwingine waweza kuta watu wawili wanapendana haswa, achana na kutamaniana. Mapenzi ambayo kama yangepewa nafasi yangechanua na kutengeneza mahusiano mazuri na imara sana, ila hamna anaekua na ujasiri wa kumwambia mwenzake. Yaweza kuwa ni matokeo ya kutojiamini; "yule mi sio size yake bwana", Hofu ya kukataliwa ;"naaah. . sidhani kama atanikubalia. Kama na yeye angekua na hisia za mapenzi juu yangu angeshanijulisha!", Hofu ya kuvunja uhusiano ambao tayari wanao ;"Ataniona wa ajabu sana kumtamkia maswala ya mapenzi yeye ni rafiki yangu, na mimi wake!!" n.k
Matokeo yake wanaishia kuwa na watu ambao hawawezi kuwapenda na kuridhika nao jumla with a lot of WHAT IF(S) kila kukicha. . . Isn't that a waste?
Mine was quite memorable. . .I hope yours went well!!
Nwy wakati mwingine waweza kuta watu wawili wanapendana haswa, achana na kutamaniana. Mapenzi ambayo kama yangepewa nafasi yangechanua na kutengeneza mahusiano mazuri na imara sana, ila hamna anaekua na ujasiri wa kumwambia mwenzake. Yaweza kuwa ni matokeo ya kutojiamini; "yule mi sio size yake bwana", Hofu ya kukataliwa ;"naaah. . sidhani kama atanikubalia. Kama na yeye angekua na hisia za mapenzi juu yangu angeshanijulisha!", Hofu ya kuvunja uhusiano ambao tayari wanao ;"Ataniona wa ajabu sana kumtamkia maswala ya mapenzi yeye ni rafiki yangu, na mimi wake!!" n.k
Matokeo yake wanaishia kuwa na watu ambao hawawezi kuwapenda na kuridhika nao jumla with a lot of WHAT IF(S) kila kukicha. . . Isn't that a waste?