bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
nikwel ndugu lkn nipo safe kwn najipangia mda wa ku log in na ku log out jf!
kwani mkuu, mbona wewe bado ni mgeni sana humu? subiri siku ukinunua kilaptonga chako, halafu ukawa na vile vitu vya kukfanya uipate net home kwako, I assure you next time ukipost itkuwa "AM ADDICTED TO......." malizia mwenyewe