Wewe una uwelewa upi katika hili ?

Judgement

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
10,327
4,779
Inapotokea ajali ya binadamu kufa kifo cha kuzama majini , iwe Baharini, Ziwani , Bwawani whatever , na maiti kuelea majini.
Basi kanuni ya ulalo (ueleaji) wa maiti hua ni tofauti baina ya maiti ya Mwanamke na ya Mwanaume.

Maiti ya Kiume huelea ikiwa imelala chali yaani uso huelekea mbinguni, na Maiti ya Kike hua kinyume chake yaani huelea kifudifudi mgongo, kisogo huelekea mbinguni na uso huelekea chini ya maji .

Kanuni hii haitofautishi age iwe ni maiti ya mtoto au mtu mzima akifia majini ataelea kufata kanuni hii.

Nimeileta hapa ili kwa wanaojua wanijuze ama Kisayansi au Kibaologia tofauti ya ueleaji huu wa gender hizi mbili nini sababu yake!
Naomba kuelimishwa.
 
Mie ndo nasikia leo ngoja tupate majibu

Kwa hints tu, nikusaidie ktk kulithibitisha hili uelewe , najua ni vigumu wewe kupata fursa kufika maeneo ya matukio ukaona kwa macho.
Fatilia sana kwenye movie zenye matukio ya ajali za maji , utathibitisha habari hii .
 
JG kwa kweli hii ni habari mpya sana kwangu na nimestaajabu sana

That's true Erick fanya tafiti , mi niko Mwanza 10 yrs now!
Nimeshacheza na haya maji ya Victoria kwa sana! Na nililithibitisha hili at Mv Bukoba tragedy!
 
Nyuma kwetu ni kuzito sana ndio maana wowowo na mgongo vinaangalia juu na huku kwenye wepesi(yaani mbeleni kwetu ndio kunaelea). Any more question mr
Judgment?
 
Last edited by a moderator:
Aisee hii ni mpya kwangu...............Ila najaribu kufikiria source ya kilichopelekea mpaka ukafukunyua hii sayansi
 
Nyuma kwetu ni kuzito sana ndio maana wowowo na mgongo vinaangalia juu na huku kwenye wepesi(yaani mbeleni kwetu ndio kunaelea). Any more question mr
Judgment?

Hebu jaribu kuwafikiria wale wachina wenye ****** yaliyopigwa pasi....halafu tumtafute Judgment atufafanulie
 
Last edited by a moderator:
Hebu jaribu kuwafikiria wale wachina wenye ****** yaliyopigwa pasi....halafu tumtafute Judgment atufafanulie

uzito wa mifupa ya makalio kwa wanawake, kama ana manyama uzito pia waongezekana. Kwa wachina wasio na nyama bado wanauzito wa hiyo mifupa.
 
Last edited by a moderator:
mmmmmh hii mpya, acha nipite,sirudi tena maana mie mambo ya kufa kufa siyapeeeendi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom