Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Halafu Celiina Kombani naye akija aseme kuwa ni maoni yake hayakuwa ya Waziri wa Sheria na Katiba.. hawa watu huwa wanapoitwa kutoa maoni kwa vyombo vya habari wanajisahau kuwa wana nyadhifa fulani? Tukiwaendekeza hata shetani atajitokeza na kudai kuwa hajawahi kuisikia Jehanamu! na atasema hayo ni maoni yake binafsi!