jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,331
- 36,515
Hongera sana..ila mi naonaga haina mzuka kabisa bila kashikashi za maisha..
kumbe nawewe hauko nyuma eeh.safi sanaTena mkisali kabla ya kula tunda mechi inakua tamu haswa...
Utamu wote unausikia na mikito heavy
Thio mimiiikumbe nawewe hauko nyuma eeh.safi sana
Hongera sana..ila mi naonaga haina mzuka kabisa bila kashikashi za maisha..
una visa weweMbalikiwe sana katika mkutano wenu huu
Lakin hata mimi pia ni mwanaume mlokole
Cc mbitiyaza
Mpe hai huyo mlokole mwenzangu
Amna gwaride linachezwa kama kawa tu,hapo ulokole haupunguzi utamuNa nyie uwa mnakunjana zile style pendwa like dog style? Au ni kifo cha mjusi tu
Yaani unasali kabla ya kuzini!!! Kweli we noma.Tena mkisali kabla ya kula tunda mechi inakua tamu haswa...
Utamu wote unausikia na mikito heavy
Huyo kwenye picha ni wewe mkuu?Amna gwaride linachezwa kama kawa tu,hapo ulokole haupunguzi utamu
Na wewe hongera pia kwa kuolewa na mwanaume mlokole...hongera sana mwanamama !
Na wewe hongera pia kwa kuolewa na mwanaume mlokole...
Huwa tunanena kwa lugha tunakemeaLakini msioneane aibu kwenye 6x6. Msilete ulokole kunako, let him pound that thing, hivi wafia dini mnasali kabla ya kula mkate wa usiku?
Mtumishi njoo chemba basi tuteteNa wewe hongera pia kwa kuolewa na mwanaume mlokole...
Haya, nakusubiri. Ila usinichomeshe mahindi...Mtumishi njoo chemba basi tutete
Cheka tu, ila usali kabla ya kumega mkate wa usiku.nimejikuta nacheka tu !hahahah