Habari wana JF,
nina rafiki yangu anafanya kazi kwenye compuni ana mtoto mmoja na hawana mawasiliano na baba wa mtoto tangu mtoto azaliwe ana umri wa miaka miwali,
Kuna mwanaume ofisini kwao anataka awe nae kama mpenzi wake,
Swali lake, je mahusiano kazini yana hatari? Naomba ushauri
nina rafiki yangu anafanya kazi kwenye compuni ana mtoto mmoja na hawana mawasiliano na baba wa mtoto tangu mtoto azaliwe ana umri wa miaka miwali,
Kuna mwanaume ofisini kwao anataka awe nae kama mpenzi wake,
Swali lake, je mahusiano kazini yana hatari? Naomba ushauri