Wenye nguvu ya kupotezea kuchapiwa ni wachache na hao ndio wanaume

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,413
11,065
Kama mwanadamu sina tofauti na wengine wote. Mwaka huu wa 2023 nimekutana na hadithi nzuri sana zenye kujenga japo ni visa vya kusikitisha sana, kisa cha kwanza jamaa kanihadithia namna alivyomfumania mke wake akinyanduana na mjomba wake ambae ni kaka wa Mama yake mzazi. Aliwakuta live akaita mashahidi wakashudia na hakufanya chochote si kupiga si maneno. Huyu mhanga kwa maelezo yake anasema nguvu na upeo wa kuhimili vimetokana na Shule na nasaha kutoka kwa Babu mzaa baba yake.

Kisa cha pili huyu Mwamba mkewe amenyanduana na baba yake mdogo nae kawakuta live, Cha ajabu huyu wa pili aliwaomba radhi kwa aibu Ile nae pia alikuwa na mashuhuda kadhaa.

Baada ya kukaa na hawa rafiki zangu wote nyakati tofauti na kupata hadithi hizi mbili nimejifunza mengi mengi sana.

Mbususu isiwe sehemu ya chanzo cha kukosa amani, kugombana na watu bali kubali ya kwamba mbususu ni sehemu ya starehe zenye ushirika katika starehe za wanadamu.

Sio rahisi sana ila ukipata msingi wa maarifa ya umuhimu wa ujinga na upumbavu katika kuishi maisha ya hapa Duniani ni rahisi sana kubeba hizi nguzo mbili. Ujinga na upumbavu.

Busara na hekima ni nguzo za ujinga na upumbavu wenye heri na baraka katika maisha yetu.

Nuru iliyo njema ni lishe ya nafsi na moyo thabiti.

Shukrani

Wadiz
 
Kama mwanadamu sina tofauti na wengine wote. Mwaka huu wa 2023 nimekutana na hadithi nzuri sana zenye kujenga japo ni visa vya kusikitisha sana, kisa cha kwanza jamaa kanihadithia namna alivyomfumania mke wake akinyanduana na mjomba wake ambae ni kaka wa Mama yake mzazi. Aliwakuta live akaita mashahidi wakashudia na hakufanya chochote si kupiga si maneno. Huyu mhanga kwa maelezo yake anasema nguvu na upeo wa kuhimili vimetokana na Shule na nasaha kutoka kwa Babu mzaa baba yake.

Kisa cha pili huyu Mwamba mkewe amenyanduana na baba yake mdogo nae kawakuta live, Cha ajabu huyu wa pili aliwaomba radhi kwa aibu Ile nae pia alikuwa na mashuhuda kadhaa.

Baada ya kukaa na hawa rafiki zangu wote nyakati tofauti na kupata hadithi hizi mbili nimejifunza mengi mengi sana.

Mbususu isiwe sehemu ya chanzo cha kukosa amani, kugombana na watu bali kubali ya kwamba mbususu ni sehemu ya starehe zenye ushirika katika starehe za wanadamu.

Sio rahisi sana ila ukipata msingi wa maarifa ya umuhimu wa ujinga na upumbavu katika kuishi maisha ya hapa Duniani ni rahisi sana kubeba hizi nguzo mbili. Ujinga na upumbavu.

Busara na hekima ni nguzo za ujinga na upumbavu wenye heri na baraka katika maisha yetu.

Nuru iliyo njema ni lishe ya nafsi na moyo thabiti.

Shukrani

Wadiz
wachache sana, na wengi wapo vijijini, na ni watu wenye hali ngumu kipesa. ila humu mjini hayupo hata mmoja. kuna baadhi ya vijiji huko, mke anahamia kwa mwanaume afu mumewe anaenda kwa balozi akamsaidie amchukue mkewe arudi naye home. wengine akifumania anahitaji pesa kadhaa mambo yameisha. ila ukiangalia kwa undani utakuta shida sio uwezo kusamehe, ni kipato.
 
wachache sana, na wengi wapo vijijini, na ni watu wenye hali ngumu kipesa. ila humu mjini hayupo hata mmoja. kuna baadhi ya vijiji huko, mke anahamia kwa mwanaume afu mumewe anaenda kwa balozi akamsaidie amchukue mkewe arudi naye home. wengine akifumania anahitaji pesa kadhaa mambo yameisha. ila ukiangalia kwa undani utakuta shida sio uwezo kusamehe, ni kipato.
Ni jambo la kimjadala halina jibu moja, ngono nadhani ni jambo la kiushirika ndiomana jamii zinafanya hivyo, pesa sina hakika kama ndio nguzo, kwa sababu hata wenye uchumi mzuri huko villages wanachapiwa pia.

Nadhani kwa upande wangu ipo haja ya wanaume kuchukua andiko hili kama changamoto ya fikra, akili na nguvu ya kuziishi ndoa na mapenzi.

Nafikiri nguzo isemayo ishini na wanawake kwa akili miongoni mwa akili hizo ni ujinga na upumbavu ambavyo msingi wake ni hekima na busara.
 
Ni jambo la kimjadala halina jibu moja, ngono nadhani ni jambo la kiushirika ndiomana jamii zinafanya hivyo, pesa sina hakika kama ndio nguzo, kwa sababu hata wenye uchumi mzuri huko villages wanachapiwa pia.

Nadhani kwa upande wangu ipo haja ya wanaume kuchukua andiko hili kama changamoto ya fikra, akili na nguvu ya kuziishi ndoa na mapenzi.

Nafikiri nguzo isemayo ishini na wanawake kwa akili miongoni mwa akili hizo ni ujinga na upumbavu ambavyo msingi wake ni hekima na busara.
hakuna mwenye uchumi mzuri village aliyewahi kuchapiwa akakubaliana na hali, labda awe na tatizo la kiafya la aibu na hataki mambo mengi yafichuke. sio rahisi kihivyo.
 
Mimi wanilipe tu kufidia maumivu ila mke pia ntamuacha.
though ukiangalia sana, hakuna kilichobadilika, uchi unabaki katika hali ile ile tu. izo nyuchi unaweza kutwanga hadi ukachubuka lakini unabaki katika hali ile ile tu, ni limfuko fulani tu linaloweza kubeba chochote na likabaki vilevile. sema utu na heshima ndio inafanya tuone ni kitu cha maana sana hadi kusababisha matatizo makubwa kwenye jamii. ile trust na utu uliochanganywa na ubinafsi. mbona kama kuziona na kuzishika, hospitali madaktari wanaingiza hadi mavidole na mikono, akipona anakuja kwako mnaendelea tu.
 
hakuna mwenye uchumi mzuri village aliyewahi kuchapiwa akakubaliana na hali, labda awe na tatizo la kiafya la aibu na hataki mambo mengi yafichuke. sio rahisi kihivyo.
Hahahaaa it's relative opinion though, ethnic wise people are different
 
though ukiangalia sana, hakuna kilichobadilika, uchi unabaki katika hali ile ile tu. izo nyuchi unaweza kutwanga hadi ukachubuka lakini unabaki katika hali ile ile tu, ni limfuko fulani tu linaloweza kubeba chochote na likabaki vilevile. sema utu na heshima ndio inafanya tuone ni kitu cha maana sana hadi kusababisha matatizo makubwa kwenye jamii. ile trust na utu uliochanganywa na ubinafsi. mbona kama kuziona na kuzishika, hospitali madaktari wanaingiza hadi mavidole na mikono, akipona anakuja kwako mnaendelea tu.
Sasa hii ndio level ya analysis inatakiwa ili kukubali ujinga na upumbavu kwa akili za walimwengu, na stahimili yako ndio hekima na busara.
 
Huu ni mjadala mpana sana! Pamoja na ukweli kuwa kuchapiwa huambatana na maumivu makali sana lakini ukweli ni kwamba hata ukichukua maamuzi ya kuua hata kujeruhi bado haitaondoa ukweli kwamba umechapiwa na usipokua makini utaongeza tatizo jingine ni ngumu kuvuka kiwango hiki cha uvumilivu lakini wanaovumilia ni wachache na ni wanaume kweli kweli
 
though ukiangalia sana, hakuna kilichobadilika, uchi unabaki katika hali ile ile tu. izo nyuchi unaweza kutwanga hadi ukachubuka lakini unabaki katika hali ile ile tu, ni limfuko fulani tu linaloweza kubeba chochote na likabaki vilevile. sema utu na heshima ndio inafanya tuone ni kitu cha maana sana hadi kusababisha matatizo makubwa kwenye jamii. ile trust na utu uliochanganywa na ubinafsi. mbona kama kuziona na kuzishika, hospitali madaktari wanaingiza hadi mavidole na mikono, akipona anakuja kwako mnaendelea tu.
Aaah the fuct that mwanaume mwengine amechezea nyeti zake hapo tayari ni mabadiliko,

Acha masikhara yahee
 
Hilo unalopaswa kujua ni kuwa upenda huja na wivu kiasi cha upendo alionao mtu Kwa mtu ndiyo kiwango cha wivu atakaokua nao kwa mtu

Hii ndiyo ilivyokaa
Wivu ni neno linalowasumbua sana watu
 
wachache sana, na wengi wapo vijijini, na ni watu wenye hali ngumu kipesa. ila humu mjini hayupo hata mmoja. kuna baadhi ya vijiji huko, mke anahamia kwa mwanaume afu mumewe anaenda kwa balozi akamsaidie amchukue mkewe arudi naye home. wengine akifumania anahitaji pesa kadhaa mambo yameisha. ila ukiangalia kwa undani utakuta shida sio uwezo kusamehe, ni kipato.
Umemaliza kila kitu. 💸💵💴💰💱🤑
 
though ukiangalia sana, hakuna kilichobadilika, uchi unabaki katika hali ile ile tu. izo nyuchi unaweza kutwanga hadi ukachubuka lakini unabaki katika hali ile ile tu, ni limfuko fulani tu linaloweza kubeba chochote na likabaki vilevile. sema utu na heshima ndio inafanya tuone ni kitu cha maana sana hadi kusababisha matatizo makubwa kwenye jamii. ile trust na utu uliochanganywa na ubinafsi. mbona kama kuziona na kuzishika, hospitali madaktari wanaingiza hadi mavidole na mikono, akipona anakuja kwako mnaendelea tu.
Tatizo ni uhusiano alionao na huyo mchepuko wake.

Hukawahi kusikia mke anamuua mume kisa mchepuko, anaanza dharau, anauza mali za familia , magonjwa nk.

Matokeo baada ya lile tendo ndo tatizo.
 
Huu ni mjadala mpana sana! Pamoja na ukweli kuwa kuchapiwa huambatana na maumivu makali sana lakini ukweli ni kwamba hata ukichukua maamuzi ya kuua hata kujeruhi bado haitaondoa ukweli kwamba umechapiwa na usipokua makini utaongeza tatizo jingine ni ngumu kuvuka kiwango hiki cha uvumilivu lakini wanaovumilia ni wachache na ni wanaume kweli kweli
Very inspiring na ndivyo tunapaswa tuishi na wanawake kwa kuwa na nafsi kuu za namna hio
 
Back
Top Bottom