Nissan xtrail nitumie oil ya namna gani
Dont tell me this is for promotional purposes!utaambiwa ya ZINOIL
mkuu kwanza nikurekebishe kwenye jina sio ZINOIL bali ni ZINOL.utaambiwa ya ZINOIL
Manufacturers wa magari na mitambo huwa wana recommend Specifications na perfomance grades such as SAE or APIutaambiwa ya ZINOIL
TBS Mwezi uliopita walitoa tahadhari kwa watumia magari kwa miji ya Arusha na Moshi juu ya uwepo wa Oil fake zinazoharibu magari..Source TBSInkoskaz,
Dah, gari yangu iligoma kuwaka asubuhi, warning lamp zote zikawa zinawaka kama hazina akili uzuri kwenye dashboard. nikamwita fundi, kutazama oil imeganda, imekuwa kama grease iliyochanganyika na mkaa. Fundi akanambia ni bahati yako gari yako ime sense kuna hitilafu kwenye oil ikaamuwa isi-start, la sivyo engine ingepata matatizo. Hii oil tulibadilisha safarini Arusha. Tumeitumia safari moja kutoka Arusha kuja Dar na raundi mbili tatu za Dar mjini, yaani haijamaliza kilomita 1,000.
Ikawa ni hasara juu ya hasara, ikabidi fundi ai-flash engine kutumia ma kemikali tuliyonunuwa ghali (STP), oil nyingine, filter nyingine na baada ya hapo akanambia ukishatumia kilo mita 100 au 150 tubadili tena filter na oil. Ikabidi nikubali.
Mtaalam hebu nijuze, kilikuwa ni nini nilichouziwa Arusha?
Tena risiti za hilo duka nnazo ngoja nizitafute nizibandike humu iwe tahadhari kwa watu wa Arusha wanaonunuwa oil hapo, ni opposite na stand ya vifodi pale mjini kama unatokea CCM unaingia kushoto.
Ahsante sana mkuu. Nitawatembelea hivi karibuni.yes mkuu Mwanakwaya inawezekana.hiyo gari inaweza kutumia oil aina mbili tofauti yaani multi grade na synthetic kutokana na mapendezeo yako na ushauri wa TOYOTA ingefaa itumie API ya SL
bei ni kuanzia 8,000 to 12,000 tsh per litre
hahaha amavubi umesharudi kutoka mombasa kwenye challenge cup?
Ya fast jet pia ipo ni aviation category ingawa fastjet ina engine..ina brake..ina gears..ina hydraulic systems sasa sijui wewe ulitaka ipi?
Nissan xtrail nitumie oil ya namna gani
Asante washwa washwa Oil hii ni aghali sana.Sisi tuna promote Brand hii kwa discounted price ili ifahamike kwa watumiajiMkuu hiyo garo oil zake ziko pale DT Dobie bei sh laki 3 kwa dum la lita 5
yes mkuu Mwanakwaya inawezekana.hiyo gari inaweza kutumia oil aina mbili tofauti yaani multi grade na synthetic kutokana na mapendezeo yako na ushauri wa TOYOTA ingefaa itumie API ya SL
bei ni kuanzia 8,000 to 12,000 tsh per litre
TBS Mwezi uliopita walitoa tahadhari kwa watumia magari kwa miji ya Arusha na Moshi juu ya uwepo wa Oil fake zinazoharibu magari..Source TBS
Mkuu, ahsante kwa maelezo. Hiyo oil ya Zinol naweza kuitumia kwa Rav 4 ya mwaka 2003? Lita 5 bei gani?
Mkuu, ahsante kwa maelezo. Hiyo oil ya Zinol naweza kuitumia kwa Rav 4 ya mwaka 2003? Lita 5 bei gani?