ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Unakuta mtu kakupa lifti kwenye gari yake binafsi, tena wala hukumwomba alafu cha ajabu sasa...barabara nzima anazungumzia mambo ya mafuta, mara oooh nnapokuaga safari huwa nasave hela nyingi sana, mara ooh unajua uzito unavyokuwa mkubwa ndivyo hivyo hivyo gari linavyotumia mafuta mengi sana...sasa mimi nipo humo humo ndani, hivi huwa mnafikiriaje?
kama umempa lift mtu mwenyewe inakuaje tena unajisahau kiivyo mpaka unaanza kuongea maneno ambayo yanamkwaza abiria wako..? kwani nani alikwambia umpe lifti....mi naichukia sana hii hali kwa kweli......
kama umempa lift mtu mwenyewe inakuaje tena unajisahau kiivyo mpaka unaanza kuongea maneno ambayo yanamkwaza abiria wako..? kwani nani alikwambia umpe lifti....mi naichukia sana hii hali kwa kweli......