Wenje katika kashfa ya kutotimiza ahadi

Nani asiyejua kuwa somo la
mathematics kwa watanzania ni tatizo?
Kama shule za kata wanachangia Tshs. 20,000 kwa mwaka, wanafunzi 130 kwa
miaka mitatu inabidi wadaiwe Tshs. 7,800,000/=.
Mtoa mada ni kilaza mkubwa na wala hawezi kuwa Chagulani kwa kuwa
Chagulani namfahamu kuwa anajua hesabu vizuri na anaendelea na kazi zake
za udiwani kama kawaida.
Tusipende kupotoshana hapa! Msimsumbue mbunge wangu kujibu utumbo wa
hivi!

kamanda naomba usome kwa umakini, wameandika "HAJATIMIZA AHADI YA KUWALIPIA TOKA " JANUARY MWAKA JANA" "
 
muongo ni wewe na wenje ungetuandikia basi ahadi ilifika ngapi na cash ngapi na ni shule gani zimepata madawati mangapi,usifanye watu wooote ni wajinga.tufike mahali tuache kutetea ujinga na tusipokuwa makini Dialo anakuja kwa kasi.....

Akuandikie,ataandikia wangapi.kwa nini unakua mvivu wa kuelewa? Mbona kiasi kilichopatikana kilitangazwa na vyombo mbali mbali vya habari nchini.kumbe mwenzetu hata yanayojiri nchini hujui au mwenzetu uko nje ya nchi
 
jimbo la nyamagana linaliliwa kwa udi na uvumba na ubaya wa jimbo hilo tangu zamani za mabiti huwa hawajirudii kama musoma mjini na morogoro mjini sijui ametayarishwa nani 2015
 
Akuandikie,ataandikia wangapi.kwa nini unakua mvivu wa kuelewa? Mbona kiasi kilichopatikana kilitangazwa na vyombo mbali mbali vya habari nchini.kumbe mwenzetu hata yanayojiri nchini hujui au mwenzetu uko nje ya nchi
we tetea kama ccm wanavyoteteana ila ukweli ipo siku utajulikana tu.tupo nyamagana na sisi ndio wapiga kula
 
kama huwa anatoa madawati mwisho wa mwaka kwann amechangisha hela za watu mapema??na hizo ada je?hao wanafunzi wanasoma shule gani?km ni ya serikali,it may be possible,tatizo ninaloliona hapo ni kwasababu ni mbunge wa chadema basi lazima atetewe,angekuwa wa ccm ingekuwa balaaaa,,,tuwe makini tusije ruka mkojo tukakanyaga mavi........
 
Sasa hao mnaowalalamikia kwa ufisadi ni waweka hazina? Mwezi uliyopita nilikuwa Mwanza nimetembea maeneo mbalimbali Igoma, Nyakato, Mabatini, Isamilo, Mirongo, kwa kweli watu wanalalamika sana kuhusu Wenje hana msaada wowote kwa wananchi kiufupi wamemchoka.

Endelea kujifariji....
 
Mbunge wa Nyamagana (Chadema) Ezekiel Wenje ametuhumiwa kushindwa kutimiza ahadi ya kulipia wanafunzi 130 wa sekondari ada.

Wakitoa malalamiko yao wakuu wa shule walisema Mh Wenje aliahidi kusomesha wanafunzi hao lakini toka Januari mwaka jana hajalipa ada kwa wanafunzi hao. Ada hiyo imefikia Tsh mil 18.

Source: Gazeti la Baruti.

Maoni yangu.
Mheshimiwa Wenje hizi zinaweza kuwa propaganda za kukuchafua, lakini kama ni kweli, hii itakuwa draw-back kubwa kwa chama makini kama chadema.

Nilitegemea Muwe wa kwanza kutimiza ahadi tena bila kuhimizwa, lakini kama na nyinyi mnashindwa kutimiza ahadi mlizozitoa bila wenyewe basi hatuna pa kukimbilia. Tutamwamini nani, hata vyama vya upinzani vinatugeukia.

Magazeti haya kila siku yanaibuka! Na habari nazo inabidi zinaiibuke!
 
Anaejiita mkurugenzi wa gazeti la Baruti kwanza ni kanjanja,CV yake kiukwel hata kuitwa mwandishi ni kashfa kwa tasnia ya habari! Huyu bwana ni mpiga picha hata kabla ya gazeti la msanii afrika lililokuwa likimilikiwa na SCPC kwa sasa SMG,kwa kutaka cheap labour walichukuliwa km wapiga picha wa gazeti wakianza km wauza picha wa gazeti baadae akaanza kuuza na habari gazetini kaanza kujiita mwandishi wa habari. Swali hapa ni kasomea wapi hyo taaluma? Sishangai gazeti hili likiandika habari hasi zimuhusuzo Wenje kwa vile mkurugenzi huyu aliwahi kug6bea udiwani kwa tiketi ya CCM na akashindwa. Nasema tena,sishangai kuandika habari hasi kumhusu Wenje kwa sababu atakuwa anawafuraìsha mabosi wake Dialo na Shilatu. Baruti ni gayeti la udaku!
 
Back
Top Bottom