johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mnada unaanza saa 4 kamili na watu wanazidi kumiminika, tutazidi kujuzana naingia ofisini kidogo hapa hapa port
CCM imekua Mtambo wa uwongo...BushiriAliMnada unaanza saa 4 kamili na watu wanazidi kumiminika, tutazidi kujuzana naingia ofisini kidogo hapa hapa port
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara
tushafika
Mkuu hii inahusika vipi na mnada wa makontena???Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara
Kweli mkuu watu ni wengi sana ila asilimia 99.9 ni sisi makada wa sisiem ambao tumeletwa na magari kuja kuunga mkono neno la jiwe. Halafu tutafanya igizo la mnada na vitu tutanunua kimaigizo ila kukonga nyoyo za wananchi wanyonge!!!Mnada unaanza saa 4 kamili na watu wanazidi kumiminika, tutazidi kujuzana naingia ofisini kidogo hapa hapa port
Nadhani baada ya Magu kutoa go ahead watu Sasa wana confidence ya kwenda kununuaMnada unaanza saa 4 kamili na watu wanazidi kumiminika, tutazidi kujuzana naingia ofisini kidogo hapa hapa port
Ulitaka imilikiwe na weweChadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara
Msituletee picha picha za Dr Shika. Maana serikali ya Ccm ni matukio ya ajabu kila sikuMnada unaanza saa 4 kamili na watu wanazidi kumiminika, tutazidi kujuzana naingia ofisini kidogo hapa hapa port
Hujawah kwenda mnadan weweHahaa. Wengi wao hawana hata mia mfukoni. Wamekuja kishabiki kama vile wako kwenye maonesho ya Saba saba.