Mtujuze jamani kuna picha zinazagaa huku kwamba kwenye kontena namba 19 kuna matrekta na siyo viti na meza kuna ukweli? Ama kweli ukiwa dsm unaona mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha wa mikoani mwenzanguMtujuze jamani kuna picha zinazagaa huku kwamba kwenye kontena namba 19 kuna matrekta na siyo viti na meza kuna ukweli? Ama kweli ukiwa dsm unaona mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada una kichwa cha panzi na unatakiwa kukumbushwa kubakiza akiba ya maneno, uchafu unaorusha kwa Makonda wewe mwenyewe utakuja kuusafisha. Kumbuka ya Lowasa.
Siku Makonda akihamia chadema atapata mapokezi makubwa
na kusafishwa kwa kila aina ya Omo na kubatizwa mleta mabadiliko wa Ufipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kurudia rudia maneno kila mahala ni dalili za mental disorder, tafuta tiba haraka kijana!Mtoa mada una kichwa cha panzi na unatakiwa kukumbushwa kubakiza akiba ya maneno, uchafu unaorusha kwa Makonda wewe mwenyewe utakuja kuusafisha. Kumbuka ya Lowasa.
Siku Makonda akihamia chadema atapata mapokezi makubwa
na kusafishwa kwa kila aina ya Omo na kubatizwa mleta mabadiliko wa Ufipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaweweseka we dada.Jikaze mzigo ndo unadepa hivo.,usipouzwa leo jumatatu kama kawa mpaka mzigo uishe
Totally true walahiChadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara
Hao ni chadrama!
Mkuu hii ni mind game hamna chochote ni kupumbaza watanzania makonda sio boya mpaka mzigo wake ukamatwe na tena anavyojijua chuki iliyoko juu yake..Kweli mkuu watu ni wengi sana ila asilimia 99.9 ni sisi makada wa sisiem ambao tumeletwa na magari kuja kuunga mkono neno la jiwe. Halafu tutafanya igizo la mnada na vitu tutanunua kimaigizo ila kukonga nyoyo za wananchi wanyonge!!!
Yule hana uwezo wa kutoa laana hata kwa mtoto wake tu Mkuu.Yapigwe mnada tuone sasa kama laana ya kuku itampata mtu
Unamnukuu huyo kikojozi wewe vipi?Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara