Arsenal itaendelea kuwa Arsenal yenye mpira wa Kuvutia Ulaya nzima. Hata Hleb wakati anatua Barca alisema yeye anaamini kuwa Final ya Ulaya itakuwa kati ya Arsenal na Barca. Ila Wenger naye apunguze kuwategemea Wafaransa zaidi kwani France imeshuka katika Soccer.