ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
leo kwenye orodha ya wadaiwa sugu wa tanesco yupo staa wetu wema sepetu.deni ni tsh milioni 8.sijui imekuwaje mtu adaiwe kiasi chote hicho wakati sis hata deni la buku 2 wanakata umeme??
M 8 matumizi ya nyumbani ! Au kuna faini ndani yake?
Ila hilo deni linachekesha, matumizi ya nyumbani tu million 8,au ana kakiwanda humo....na tanesco walikua wanaanglia tu hadi deni linafikia hivo, au wanamsingizia?
Ana mashine ya kusaga na kukoboa....hivi inakuwaje mtu mwenye biashara ya billion 7(za zimbabwe) ashindwe kulipa bill ya umeme...Ila hilo deni linachekesha, matumizi ya nyumbani tu million 8,au ana kakiwanda humo....na tanesco walikua wanaanglia tu hadi deni linafikia hivo, au wanamsingizia?
Ana mashine ya kusaga na kukoboa....hivi inakuwaje mtu mwenye biashara ya billion 7(za zimbabwe) ashindwe kulipa bill ya umeme...
Ana mashine ya kusaga na kukoboa....hivi inakuwaje mtu mwenye biashara ya billion 7(za zimbabwe) ashindwe kulipa bill ya umeme...
kumbe wema ana nyumba hapa mjini? otherwise meter ya luku ilitakiwa kusoma jina la mwenye nyumba...
Huyo kila jambo lake ni kiki..Ha ha ha yani Madame le milionea anashindwa kulipa bill ya umeme au ni kiki tu hii
Huyo kila jambo lake ni kiki..
Teh Teh ni mwendo wa kutumbua majipu....!Alidhani mtelezo utaendelea kwa magufuli hakuna urafiki teh
leo kwenye orodha ya wadaiwa sugu wa tanesco yupo staa wetu wema sepetu.deni ni tsh milioni 8.sijui imekuwaje mtu adaiwe kiasi chote hicho wakati sis hata deni la buku 2 wanakata umeme??