Wema Sepetu ameanza kuzeeka sasa!!

Tangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.

Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.

Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378


Wema Sepetu bado chuma. Atakuwa 28 yrs mwaka huu
 
Wema Sepetu bado chuma, atakuwa
Tangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.

Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.

Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378


Wema Sepetu bado chuma. Atakuwa 28 yrs mwaka huu
 
Tangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.

Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.

Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378
Wema Sepetu Hajakonda ila kakondeana

Kukonda kuna nafuu kukondeana balaa

Mwanamke akiwa mzuri ni fursa kwake kuwinda wanaume wa maana wa kumuoa

Kachezea shilingi chooni hapo kuoleka na mtu wa maana sio rahisi
 
Wema Sepetu Hajakonda ila kakondeana

Kukonda kuna nafuu kukondeana balaa

Mwanamke akiwa mzuri ni fursa kwake kuwinda wanaume wa maana wa kumuoa

Kachezea shilingi chooni hapo kuoleka na mtu wa maana sio rahisi
Mtu wa maana kwa tafsir yako ni mtu wa namna gani?
 
Mtu wa maana kwa tafsir yako ni mtu wa namna gani?
Muulize Wema au mwanamke yeyote kama wewe Mwanaume umeoa muulize mkeo akwambie kama hujaoa una girl friend au unatarajia kuoa muulize msichana yeyote kuwa eti nyie mwanaume.wa maana kwenu vigezo ni vipi? Kama huna wote hao muulize mama mzazi aliyekuzaa yeye akisikia Mwanaume wa maana sifa zake zipi

Nakuhakikishia mama mzazi atatema cheche za kufa mtu za kueleweka bila chenga
 
.......licha ya kuwa wengi tunapenda kuishi miaka mingi lakini deep down tunauchukia uzee, uzee ukizidi ni ugonjwa, lakini pia uzee maana yake ni kuacha mazuri mengi ya ujanani, so ni masikitiko, tusiwaseme watu wenye umri mkubwa au wanaoelekea uzeeni, inaumiza kiasi fulani kuuaga ujana, na zaidi ya yote wote tutazeeka na kufariki, kama huyo Wema akipita hapa hatuwezi kujisikia vizuri kwakweli, tujali hisia za wenzetu.......huwa najisikia vibaya nikiona picha za sasa za Celine Dion daa!!.........
Nakubaliana na wewe ila binadamu ukishaamua kuwa maisha yako unayaanika kwenye mtandao basi kumbuka utajadiliwa kwa mazuri na mabaya. Angekuwa amaechomoa picha binafsi ya mtu asiyeishi haya maisha mtandao akaanzisha thread kama hii maneno yako yangesihi
 
Muulize Wema au mwanamke yeyote kama wewe Mwanaume umeoa muulize mkeo akwambie kama hujaoa una girl friend au unatarajia kuoa muulize msichana yeyote kuwa eti nyie mwanaume.wa maana kwenu vigezo ni vipi? Kama huna wote hao muulize mama mzazi aliyekuzaa yeye akisikia Mwanaume wa maana sifa zake zipi

Nakuhakikishia mama mzazi atatema cheche za kufa mtu za kueleweka bila chenga
Kama mwanamke uliza wanawake wenzio akiwemo.mama mzazi
 
Muulize Wema au mwanamke yeyote kama wewe Mwanaume umeoa muulize mkeo akwambie kama hujaoa una girl friend au unatarajia kuoa muulize msichana yeyote kuwa eti nyie mwanaume.wa maana kwenu vigezo ni vipi? Kama huna wote hao muulize mama mzazi aliyekuzaa yeye akisikia Mwanaume wa maana sifa zake zipi

Nakuhakikishia mama mzazi atatema cheche za kufa mtu za kueleweka bila chenga
Me nilifikiri ww unamjua, ok maandalizi mema ya eid Mubarak
 
She is still beautiful, naomba kujuzwa hivi alijipunguza sababu ya harakati za kutafuta mtoto au alishauriwa kama comments zinavyosema?
Bila shaka ni katika harakati za kutaka kuonekana mrembo ili avutie zaidi. Haya ndiyo matatizo ya mwanamke kuishi kwa kutegemea mvuto wake. Kila siku kuna chipukizi wapya wanaibuka na kuleta ushindani kwenye kupata wateja. Katika kuhangaika ndiyo unakuta watu wanafanya maamuzi yasiyo na busara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom