King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,883
- 69,136
Ana ubichi gani kashakua bibi
Bado Kinanda mkuu huyo,camera tu imezingua.
Ana ubichi gani kashakua bibi
Tangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.
Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.
Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378
Tangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.
Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.
Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378
Nahs Atakua mwanamke uyo,Hakuna mtu mchawi Kama mtu aliyemwambia Wema ajikondeshe.
Wema Sepetu Hajakonda ila kakondeanaTangu mwaka 2006 aliposhiriki mashindano ya Miss Tanzania, Umri wa Wema Sepetu ni kama ulisimama, haukuwahi kusonga mbele. Kwanini? Yeye kila akiulizwa anasema ana miaka 26 na hakuwahi kuvuka hapo miaka kwa miaka. Yaani akipata interview yoyote kama ataulizwa swali la umri basi ni miaka 26.
Lakini kwasiku za karibuni ameanza kuzeeka, sura imeanza kuwa ya kiutu uzima sasa. Nadhani sasa akiulizwa umri walau atatuambia ana miaka 30.
Ama kweli wakati ni ukuta na huwezi kupambana nao! View attachment 2594378
Kawaida tu mkuu ila bado mbichi sema position ya camera tu.
Amezaliwa September 28 1990 so now Anaingia 33 this year kwahiyo sio mzee saana
Mtu wa maana kwa tafsir yako ni mtu wa namna gani?Wema Sepetu Hajakonda ila kakondeana
Kukonda kuna nafuu kukondeana balaa
Mwanamke akiwa mzuri ni fursa kwake kuwinda wanaume wa maana wa kumuoa
Kachezea shilingi chooni hapo kuoleka na mtu wa maana sio rahisi
NakaziaKawaida tu mkuu ila bado mbichi sema position ya camera tu.
Sema tena na tena. Amekuwa kuwa kikatuni hivi.Hakuna mtu mchawi Kama mtu aliyemwambia Wema ajikondeshe.
Tangia hapo hajui kukataa wema
Wanyaturu hawawezagi kusema No
Mmmhh kwahiyo Miss Tz aliingia akiwa na 15-16?
Muulize Wema au mwanamke yeyote kama wewe Mwanaume umeoa muulize mkeo akwambie kama hujaoa una girl friend au unatarajia kuoa muulize msichana yeyote kuwa eti nyie mwanaume.wa maana kwenu vigezo ni vipi? Kama huna wote hao muulize mama mzazi aliyekuzaa yeye akisikia Mwanaume wa maana sifa zake zipiMtu wa maana kwa tafsir yako ni mtu wa namna gani?
Nakubaliana na wewe ila binadamu ukishaamua kuwa maisha yako unayaanika kwenye mtandao basi kumbuka utajadiliwa kwa mazuri na mabaya. Angekuwa amaechomoa picha binafsi ya mtu asiyeishi haya maisha mtandao akaanzisha thread kama hii maneno yako yangesihi.......licha ya kuwa wengi tunapenda kuishi miaka mingi lakini deep down tunauchukia uzee, uzee ukizidi ni ugonjwa, lakini pia uzee maana yake ni kuacha mazuri mengi ya ujanani, so ni masikitiko, tusiwaseme watu wenye umri mkubwa au wanaoelekea uzeeni, inaumiza kiasi fulani kuuaga ujana, na zaidi ya yote wote tutazeeka na kufariki, kama huyo Wema akipita hapa hatuwezi kujisikia vizuri kwakweli, tujali hisia za wenzetu.......huwa najisikia vibaya nikiona picha za sasa za Celine Dion daa!!.........
Kama mwanamke uliza wanawake wenzio akiwemo.mama mzaziMuulize Wema au mwanamke yeyote kama wewe Mwanaume umeoa muulize mkeo akwambie kama hujaoa una girl friend au unatarajia kuoa muulize msichana yeyote kuwa eti nyie mwanaume.wa maana kwenu vigezo ni vipi? Kama huna wote hao muulize mama mzazi aliyekuzaa yeye akisikia Mwanaume wa maana sifa zake zipi
Nakuhakikishia mama mzazi atatema cheche za kufa mtu za kueleweka bila chenga
Me nilifikiri ww unamjua, ok maandalizi mema ya eid MubarakMuulize Wema au mwanamke yeyote kama wewe Mwanaume umeoa muulize mkeo akwambie kama hujaoa una girl friend au unatarajia kuoa muulize msichana yeyote kuwa eti nyie mwanaume.wa maana kwenu vigezo ni vipi? Kama huna wote hao muulize mama mzazi aliyekuzaa yeye akisikia Mwanaume wa maana sifa zake zipi
Nakuhakikishia mama mzazi atatema cheche za kufa mtu za kueleweka bila chenga
Bila shaka ni katika harakati za kutaka kuonekana mrembo ili avutie zaidi. Haya ndiyo matatizo ya mwanamke kuishi kwa kutegemea mvuto wake. Kila siku kuna chipukizi wapya wanaibuka na kuleta ushindani kwenye kupata wateja. Katika kuhangaika ndiyo unakuta watu wanafanya maamuzi yasiyo na busara.She is still beautiful, naomba kujuzwa hivi alijipunguza sababu ya harakati za kutafuta mtoto au alishauriwa kama comments zinavyosema?
16 lakini alidanganya umri