Apeche Habib
Member
- Apr 4, 2012
- 49
- 6
Pumbaaa
Mrembo na Miss Tanzania wa zamani, Wema Sepetu ameamua kubaki natural baada ya kuzinyoa nywele zake. Kupitia Instagram, Wema ameshare picha hizo na kuandika, me apa nimenyoa nywele. Ingia ndani kusoma maoni aliyoyapata baada ya kunyoa. ] citystarboutique Looking so young and freshhhhhh, lovely look 12min [ @ ] stevejns Daaaah u loooks nycc jaman..y ukufanyaga hyo toka kitambo?..
endelea kuchezea mikasi jf ni kazi yako ya nje kodi ngumu dadadekiSisi wengine ndio wafadhali wa chama, kama ulikuwa hujui...