Vipi twende zetu jukwaa la siasa tukawatete wakina NApe au tutakosa Ulaji pale lumumba mkuuStyle imempendeza...
kweli mwanamke ni nywele kama jiniMrembo na Miss Tanzania wa zamani, Wema Sepetu ameamua kubaki natural baada ya kuzinyoa nywele zake. Kupitia Instagram, Wema ameshare picha hizo na kuandika, me apa nimenyoa nywele. Ingia ndani kusoma maoni aliyoyapata baada ya kunyoa. ] citystarboutique Looking so young and freshhhhhh, lovely look 12min [ @ ] stevejns Daaaah u loooks nycc jaman..y ukufanyaga hyo toka kitambo?..
bora we umesema ukweli! she is very cute indeed!haka katoto ni kazuri jamani......
Vipi twende zetu jukwaa la siasa tukawatete wakina NApe au tutakosa Ulaji pale lumumba mkuu
Vipi twende zetu jukwaa la siasa tukawatete wakina NApe au tutakosa Ulaji pale lumumba mkuu
Mbona usoni anaonekana kama mtu aliyechoka sana.
hayaaaa wema sepetu aamua kuja kvngne 4 da 1st tym baada ya kua star ameamua kunyoa nywele nw n mwendo wa para 2
Source:www.bongo5.com
hakika simjui mtu huyu
Mweee kipara kama King'amuzi cha startimes, hamna jipya hapo!
Kapendeza
KM zimeshasogea sana!