Hivi GPA yake ni ngapi vile?2....?Kaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!Mayor wa New York Bwana Bloomberg (kushoto aliyeshika tama)alikuwa anawaza nini juu ya JK??
Mayor wa New York Bwana Bloomberg (kushoto aliyeshika tama)alikuwa anawaza nini juu ya JK??
Mbona haya anayoyasoma angeweza kumtumia balozi wa nchi yake hapa Marekani?
Mbona haya anayoyasoma angeweza kumtumia balozi wa nchi yake hapa Marekani?
Anashangaa UKILAZA wa mtu anaetwa rais wa nchi tajiri kama bongo!!! Watu wanakuja na begi tu toka kwao baada ya muda wanakuwa mabillionea hapa bongo lakini rais wa nchi hiyo hiyo ni MATONYA; what a paradox!!!
Mayor wa New York Bwana Bloomberg (kushoto aliyeshika tama)alikuwa anawaza nini juu ya JK??