We are Sexually Incompartible!! Ndoa itadumu

VUVUZELA

JF-Expert Member
Jun 19, 2010
3,103
786
Wana-JF wenzangu. Nimepambana na maisha na kuyaweka sawa na sasa imefika wakati naona ni bora nitulizane na kuoa ili niendelee na chapter nyingine ya maisha. Kuna huyu binti nimempata na tuko pamoja kama miaka miwili na nusu sasa.

She's ok in so many ways kasoro ni kwamba linapokuja suala la ngono hatuko on the same page kabisaaaaaaa. Yaani ni gogo na mvivu 100% kwenye 6x6, na hajishuhulishi kabisaaaaaaa na chochote... ni ile style ya soma gazeti ukialimaliza litupe....kifo cha mende. ..nimejaribu kumweleza na kumfunza wapiii lakini anasema there's nothing she can do. Sasa nahofia kuja kuoa mke ambae tutakuwa hatuko sexually compartible.

Jee hii ndoa itadumu kweli? Madhara ya kutoridhishana kingono kati ya wapendanao ni yapi? Manake nimejitahidi ku-overlook lakini saa nyingine nakuwa tempted kukata kiu kwa makoloni ya zamani ambayo tunaivana kingono kitu ambacho sitokipendelea nikijaitwa mume wa mtu. Nataka nikioa nitulizane kama maji ya mtungi na sitaki nyumba ndogo. nimekwama. Nifanyeje? Nawasilisha
 
majibu yapo kwenye thread yako mkuu...wewe unapenda kupiga mechi kama upo fainali ya kombe la dunia wakati mwenzio anawaza kwenda saluni...uamuzi ni wako.
uishi nae hivyo hivyo au utafute mpenda ngono kama wewe uoe.
ila kumbuka ndoa ni zaidi ya ngono mkuu
 
mhh ukimuoa huyo jiandae na mechi za mchangani.....ndoa si kusoma magazeti babu eee watuulize wenye ndoa zetu zinatizmiza miaka 70 sasa na kila siku wapya
 
Compatibility ni muhimu. Na kwa nini hataki kujifunza? Au ni mnene sana kwa hiyo mastyle unayotaka anashindwa. Kama ni wa kawaida namshangaa sana kwa sababu ni too early kuwa na staili ya kusoma gazeti. Mh. Tafuta mnayeendana dear asikwambie mtu 6x6 kwanja mengine yanafuata. Tulia utapata mwengine mwenye tabia nzuri na bado mambo anayajua. Sikushauri kabisa kuoa mke asiyekuridhisha utaishia kuwa kiruka njia. Ndio wanume wanatoka nje ya ndoa ila wewe utatokomea si kutoka tu.
 
Wat mataz ni m2 unaempenda? Je ni m2 ambaye unaweza kuishi mkaelewana na kujenga familia bora? Ngono c suala la msingi kiivo kwan ni nusu saa kati ya masaa 24 ya kuishi kwa siku! Kabla ya kufikiria kumpata anaejua kufanya mapenzi jiulize kwanza uko tayari kuish maisha yasiyo na aman kwa masaa 23 na nusu kwa ajili ya starehe ya nusu saa kila cku?
 
Kama hafundishiki bora utafute mwingine mtakaye endana. Hilo tendo ndio mwisho wa yote ndio maana likaitwa tendo la ndoa!
 
Hata kwenye seminar za ndoa makanisani tunafundishwa tendo ni muhimu ndugu na likikosekana laweza hata kufanya kanisa kukubali ndoa ivunjwe..
Kama ni maisha waweza ishi bila mke na kuepuka karaha. Tunaoa na kuolewa kwa sababu ya kupata starehe alali asikwambie mtu.

Wat mataz ni m2 unaempenda? Je ni m2 ambaye unaweza kuishi mkaelewana na kujenga familia bora? Ngono c suala la msingi kiivo kwan ni nusu saa kati ya masaa 24 ya kuishi kwa siku! Kabla ya kufikiria kumpata anaejua kufanya mapenzi jiulize kwanza uko tayari kuish maisha yasiyo na aman kwa masaa 23 na nusu kwa ajili ya starehe ya nusu saa kila cku?
 
majibu yapo kwenye thread yako mkuu...wewe unapenda kupiga mechi kama upo fainali ya kombe la dunia wakati mwenzio anawaza kwenda saluni...uamuzi ni wako.
uishi nae hivyo hivyo au utafute mpenda ngono kama wewe uoe.
ila kumbuka ndoa ni zaidi ya ngono mkuu

Naelewa ndoa ni zaidi ya ngono lakini vilevile najua lazima kuwe na balance ili kuepukana na cheating. Sitaki cheating
 
Wana-JF wenzangu. Nimepambana na maisha na kuyaweka sawa na sasa imefika wakati naona ni bora nitulizane na kuoa ili niendelee na chapter nyingine ya maisha. Kuna huyu binti nimempata na tuko pamoja kama miaka miwili na nusu sasa. She's ok in so many ways kasoro ni kwamba linapokuja suala la ngono hatuko on the same page kabisaaaaaaa. Yaani ni gogo na mvivu 100% kwenye 6x6, na hajishuhulishi kabisaaaaaaa na chochote... ni ile style ya soma gazeti ukialimaliza litupe....kifo cha mende. ..nimejaribu kumweleza na kumfunza wapiii lakini anasema there's nothing she can do. Sasa nahofia kuja kuoa mke ambae tutakuwa hatuko sexually compartible.
Jee hii ndoa itadumu kweli? Madhara ya kutoridhishana kingono kati ya wapendanao ni yapi? Manake nimejitahidi ku-overlook lakini saa nyingine nakuwa tempted kukata kiu kwa makoloni ya zamani ambayo tunaivana kingono kitu ambacho sitokipendelea nikijaitwa mume wa mtu. Nataka nikioa nitulizane kama maji ya mtungi na sitaki nyumba ndogo. nimekwama. Nifanyeje? Nawasilisha


Kabla hata ya kwenda kwenye tendo la ndoa, hapo kwenye red una maana gani kusema "she's ok"? Yaani mimi hapo ndio pana utata mkubwa. She's ok and you want to marry her. Why don't you marry the one who is best for you? Instead, you're picking the one who is ok for you. Think twice sir.
 
Compatibility ni muhimu. Na kwa nini hataki kujifunza? Au ni mnene sana kwa hiyo mastyle unayotaka anashindwa. Kama ni wa kawaida namshangaa sana kwa sababu ni too early kuwa na staili ya kusoma gazeti. Mh. Tafuta mnayeendana dear asikwambie mtu 6x6 kwanja mengine yanafuata. Tulia utapata mwengine mwenye tabia nzuri na bado mambo anayajua. Sikushauri kabisa kuoa mke asiyekuridhisha utaishia kuwa kiruka njia. Ndio wanume wanatoka nje ya ndoa ila wewe utatokomea si kutoka tu.

Sio mnene wala sio mwembamba yuko wastani tu. Tabia nzuri anayo, ana heshima yani in overall yuko ok kasoro ni kwenye 6x6 yaani nimejitahidi saanaa kuoverlook lakini naona sasa it's taking its toll, nsipendi wala sitopenda kuja kuwa na nyumba ndogo maishani. Hata sijui nifanyenje niko njia panda
 
Sio mnene wala sio mwembamba yuko wastani tu. Tabia nzuri anayo, ana heshima yani in overall yuko ok kasoro ni kwenye 6x6 yaani nimejitahidi saanaa kuoverlook lakini naona sasa it's taking its toll, nsipendi wala sitopenda kuja kuwa na nyumba ndogo maishani. Hata sijui nifanyenje niko njia panda

Mlipie pesa kidogo aende kwa bi chau.. akirudi atakuwa amechangamka..
 
Pole mkuu ulizoea farasi leo upo na ngamia,kungekuwa na twisheni au internship ningekwambia umpeleke lol,komaa nae tu mpe shule taratibu umeshasema ni mzuri kwenye maeneo mengine hakuna mtu aliyekamilika.Hata wewe inawezekana kuna kitu unamboa sema tu hayupo jf kutueleza.
 
Mlipie pesa kidogo aende kwa bi chau.. akirudi atakuwa amechangamka..
mpendwa mambo haya nayo yanahitaji we mwenyewe,unauhakika yeye anajiona mvivu kitandani na yuko tayari kwenda mafunzo,maana angekuwa anajiona hivyo huyu bwana asingekuja na thread hapa
 
Kabla hata ya kwenda kwenye tendo la ndoa, hapo kwenye red una maana gani kusema "she's ok"? Yaani mimi hapo ndio pana utata mkubwa. She's ok and you want to marry her. Why don't you marry the one who is best for you? Instead, you're picking the one who is ok for you. Think twice sir.

OK means sura nzuri tabia njema mpishi mzuri msafi ana heshima etc. lakini when it comes to 6X6 mmmmnnnhhh , yaani ni zero. I'm confused, mkuu
 
mhh ukimuoa huyo jiandae na mechi za mchangani.....ndoa si kusoma magazeti babu eee watuulize wenye ndoa zetu zinatizmiza miaka 70 sasa na kila siku wapya
nani kakuulza yote hayo bi shost?
 
Pole mkuu ulizoea farasi leo upo na ngamia,kungekuwa na twisheni au internship ningekwambia umpeleke lol,komaa nae tu mpe shule taratibu umeshasema ni mzuri kwenye maeneo mengine hakuna mtu aliyekamilika.Hata wewe inawezekana kuna kitu unamboa sema tu hayupo jf kutueleza.

Hapana mkuu, nakueleza ukweli hapa. Tatizo ni yeye
 
OK means sura nzuri tabia njema mpishi mzuri msafi ana heshima etc. lakini when it comes to 6X6 mmmmnnnhhh , yaani ni zero. I'm confused, mkuu

Basi jiangalie wewe mwenyewe kama una mfikisha.. Walah kama unamfikisha kigoma lazima atarespond!
 
Basi jiangalie wewe mwenyewe kama una mfikisha.. Walah kama unamfikisha kigoma lazima atarespond!

Nimejitahidi kila ufundi lakini bureeeeee kabisa. Yaani Mayassa mpaka nashikwa na hasira labda inawezekana nasikia kabila yao wanatahiri wadada may be ndio sababu. Lakini mbona huko nyuma nimekutana na waliotahiriwa lakini mambo freeesh?
 
mhh ukimuoa huyo jiandae na mechi za mchangani.....ndoa si kusoma magazeti babu eee watuulize wenye ndoa zetu zinatizmiza miaka 70 sasa na kila siku wapya

mechi za mchangani nikishaoa sitaki kusikia
 
OK means sura nzuri tabia njema mpishi mzuri msafi ana heshima etc. lakini when it comes to 6X6 mmmmnnnhhh , yaani ni zero. I'm confused, mkuu

Kwa hiyo pamoja na "sura nzuri tabia njema mpishi mzuri msafi ana heshima etc" she is ok which means hata angekuwa safi 6X6 bado angekuwa ok. Rejea post yako ya mwanzo.
 
Back
Top Bottom