Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,153
- 13,223
Majuzi Rais mteule wa Zambia Michael Chifunya Satta aliwapiga vijembe viongozi ambao wamekaa muda mrefu madarakani kwa kuwachana live kwamba wako tangu enzi za Nyerere na kwamba anachoona sasa ni kwamba wan re-group 9akimaanisha kuwakuta tena madarakani Mu7, Kibaki na Mzim Mugabe) .......Hoja hii ilimfanya Moi KABAKI kuonekana kabisa kupigwa na butaa na kutekewa huku JK akiangua kicheko............:car:
......kwa maoni yangu ni kwamba pamoja na demokrasia kubwa iliypo Zambia huenda ni UTOTO TU WA SATTA........(UGENI madarakani huenda nae akanogewa.....) japo ni kweli kwamba ameWachana LIVE lakini madaraka hususan ya urais ni kama KULA NYAMA YA MTU...........
Nakumbuka wandishi wa habari majuzi walimuuliza Mzim Mugabe
Mr President when are you going to say GOODBYE to your people???......... naye akawajibu
oa:A S-coffee:WHERE ARE THEY GOING!!!!????????????:yawn::A S embarassed:
......kwa maoni yangu ni kwamba pamoja na demokrasia kubwa iliypo Zambia huenda ni UTOTO TU WA SATTA........(UGENI madarakani huenda nae akanogewa.....) japo ni kweli kwamba ameWachana LIVE lakini madaraka hususan ya urais ni kama KULA NYAMA YA MTU...........
Nakumbuka wandishi wa habari majuzi walimuuliza Mzim Mugabe
Mr President when are you going to say GOODBYE to your people???......... naye akawajibu
oa:A S-coffee:WHERE ARE THEY GOING!!!!????????????:yawn::A S embarassed: