Naona kuna mahali tunapishana lakini sidhani kama tuna sheria inayohamasisha vitendo vya ushoga hapa nchini ....labda nikumbushe iko ibara no ngapi
mkuu humu JF wapo wengi sana wenye tabia hii, mie kuna mmoja alijitokeza huku kuomba ushauri juu ya upungufu wa nguvu za kiume...nikamshauri kawaida kwenye forum akanipm nikamjibu pm zake na i was ready kumkutanisha na madaktari washkaji zangu kwa ajili ya kucheck hormone zake, basi mawasiliano yalienda vizuri mpaka nikampa na number yangu ya simu (thanks God nilimpa number nisiyoitumia sana) tukakutana pale mliman city, (jamaa ni mwanafunzi wa chuo kikuu) he....makubwa jamaa si anieleze kiurefu tatizo lake na akataka nimbandue...nilimkemea na kujaribu kumshawishi aende hospital akatibiwe...hakunielewa maskini...alikuwa anakazana kunitext na kunipm nikamkamue...nilimpotezea jumla na hata that line nikaacha kuitumia kabisa.Nashukuru sana mkuu mshana jr kwa kuweka uzi humu jamvini hakika mwanaume yeyote ambae amezaliwa kwenye maadili angepata nafasi mwanaume mwenzako akiomba umgegede nafikiri siku ingeharibika sana..kiukweli kesho yake nilikosa raha kila nikiwaza jamaa alivyokomalia akitaka nimgegede..uzuri mshana jr alitumia busara kunifata PM nikamtumia na picha za mshikaji akinionyesha mali ya nyuma na mikao yote..wenye tabia hizo badilikeni aisee
Hawa unaowatetea walizaliwa na wazazi waliofurahi mno kupata watoto wa kiume. Wengi wao wakajitahidi kuwalea katika maisha yawapasayo ili nao waje kuitwa baba wawe na familianijibuni.
mmeathirika nini kwasababu ya homosexuals?
wamewapora fedha?
wamewafisadi?
wamewanyima oxygen?
watu wameamua kwa hiari na utashi wao kufanya homo sex,
nyie viwewe vinawashika.
kwanini?
inakuwa kuwaje?
hebu nifafanulieni.
Mungu atusaidie sana jamani, Mimi kama mimi napinga ushoga kwa asilimia zote hata maandiko matakatifu yanapinga vikali ingawa Leo hii kuna hata baadhi ya hao wakuitwa watumishi wa Mungu wana support ushoga, yani mtu anasimama kidete kabisa kutetea ushoga?? dunia imeisha hakika.Naomba kwanza unipe maoni mtazamo na msimamo wako kuhusu mashoga na kama ni jambo jema katika jamii
Mkuu acha huo mchezo mara moja, sio sifamkinijibu hili swali nitaanza kuupinga ushoga!
iweje mtu aumie kwa jambo linalofanywa na mtu fulani, tena jambo ambalo haliathiri mtu/ maisha ya mtu mwingine?
inakuwa kuwaje?
bado sijapata logic.
Tofautisha sheria na haki.
Sheria inaweza kutumika kukandamiza na kunyima haki.
Mfano. Apartheid SA ilipitishiwa mpaka sheria lakini haimaanishi ni sheria yenye haki.
Ok sheria ya haki ya kujamiiana Tanzania inasemaje?mpe lecture huyo mluga luga.
simple logic zinamshinda.
Relax...!relax..!relax...! Panic ikishaisha utaniambia tuendeleesasa mshana kinachokuliza ni nini?
na unapambana hasa na kundi gani?
waliozaliwa hivyo?
au walioiga?
na unatumia microscope gani kupima chanzo cha ushoga wa mtu?
unatumia chujio gani hilo kuwajua na kuwatenganisha walioiga na waliozaliwa hivyo?
na utawafanyaje thereafter?
utawaua ili watoto wako wasiwaige?
au ni nini hasa point yako?
maana naona unaelekea kwenye utaahira!
bado stage chache sana utaokota makopo.
Mkuu sheria za Tanzania hazijaruhusu mapenzi ya jinsia moja lakini haimaanishi kuwa ni sheria za haki. Na Ndio maana viongozi wetu wanapewa shinikizo ili kufanya restructuring Kwenye sheria hizo.Ok sheria ya haki ya kujamiiana Tanzania inasemaje?
Je nyie wawili kati yenu mko radhi kuingiliwa?
Je Mkiwa na watoto mashoga mtajisikiaje?
We hujielewi wewe, inaezekana na wewe ni mmojawapo ya waliotumwa kuendeleza hii Sodom , hata aibu huoni kwa shit unazoongea, yani kabisa dume likupumulie kwa nyuma, halafu useme ni haki zao, wacha kabisa, embu fanya maombi na utubu weweKwa hio wanaotetea haki za wanyama ni wanyama pia au wanaotetea haki za watoto ni watoto
Mkuu sheria za Tanzania hazijaruhusu mapenzi ya jinsia moja lakini haimaanishi kuwa ni sheria za haki. Na Ndio maana viongozi wetu wanapewa shinikizo ili kufanya restructuring Kwenye sheria hizo.
Pili Mimi sio gay am straight( sifanyi mapenzi na jinsia moja) ila sina tatizo na wanaofanya hivyo kwani ni haki Yao kujihusisha kimapenzi na walochaguana na kuridhiana
Hii point ya mwisho imenisononesha kuwa hupendi mwanao awe shoga kuepuka uonevu only that? Finally nisingependa mtoto wangu awe shoga. Hii ni kutokana na dhuluma, kuonewa na mateso ambayo atayapata kutoka Kwenye jamii na Watu Kama wewe.
Mkuu acha kubishana kwa feelings bishana kwa fact's. Na pia kubali sometimes kushindwa hakuna shida katika hili itaonyesha ni jinsi gani umekomaa kiakili unless ni ubishi wa vijiweni.Ok sheria ya haki ya kujamiiana Tanzania inasemaje?
Je nyie wawili kati yenu mko radhi kuingiliwa?
Je Mkiwa na watoto mashoga mtajisikiaje?
jibu swali, acha mapepe.
Nilijua utashindwa kuhimili na kujitokeza kwa rangi zako halisi...ni ngumu sana mtu kuficha uhalisia wake kwakuwa ni kitu cha ndani mno...mchokonoe atajitokeza tuundio hoja ulizobakiza.
utajibu nini sasa!!
umebaki kurukia watu unapobananishwa.