MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,881
- 6,307
Habari wadau.
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako
Kwa research yangu isiyo rasmi. Kazi ya kusaka mwenza wa maisha ni ngumu sana ukianza kuifanya ukiwa na age above 30s..
Imani yako kwa watu inakuwa ndogo sana kutokana na uhalisia wa ubongo wako ulivyopevuka.
Hii inawatokea vijana wengi wa kiume na wa kike waliojipata. Yaani wenye stable income ama vipato vizuri.
Nikitazama ndugu, jamaa na marafiki ambao wamejipata. Wanateseka sana na hili.
Ushauri wa wazi kwa vijana wadogo wa kiume.
Ni rahisi sana kupata Mke mwema kama ukimpata mapema.. kabla hajazidi 25. Uwe umeshamuwahi.
Wanawake wengi ni wake bora ila experience za maisha zinawabadilisha na kuwa wabaya.
Muhimu umuwahi kabla hajakutana na experience za kumbadilisha na kuendana na mabadiliko hayo. Mkifunga ndoa mapema. Mnagrow mapema.. na imani juu yenu inakuwa kubwa.
Mbeleni ngumu sana kumuamini mtu. Hasa ukiwa umejipata.
Kila mtu unaona anafata faida kwako