wazungu wa misaada, mashule business...

mbongopopo

JF-Expert Member
Jan 24, 2008
1,611
759
Jana nilitembelea website ya Haven of peace academy ipo Mbezi beach, dar ilikuwa inaomba donations watoto wapate scholarships ila inaelekea huko USA wanaiongelea kama ni msaada kwa watoto wa tz wakati ni msaada kwa wenye mamillioni kulipia watoto.

Mie sielewi kwa nini wanaruhusiwa kuja kujitajirisha hapa Tanzania

School fees yaanzia dola $5000 kila level inapanda hadi over $7000

Hizi pesa wanafanyia nini je zinasaidia shule za masikini?

Kama ni wa kanisa huko usa kwa nini waje hapa ku charge pesa nyingi au ku target wenye nazo na kutosaidia wanaohitaji misaada?

Kwnye necta shule haimo je haifanyi mitihani ya wote?
 
Jana nilitembelea website ya Haven of peace academy ipo Mbezi beach, dar ilikuwa inaomba donations watoto wapate scholarships ila inaelekea huko USA wanaiongelea kama ni msaada kwa watoto wa tz wakati ni msaada kwa wenye mamillioni kulipia watoto.

Mie sielewi kwa nini wanaruhusiwa kuja kujitajirisha hapa Tanzania

School fees yaanzia dola $5000 kila level inapanda hadi over $7000

Hizi pesa wanafanyia nini je zinasaidia shule za masikini?

Kama ni wa kanisa huko usa kwa nini waje hapa ku charge pesa nyingi au ku target wenye nazo na kutosaidia wanaohitaji misaada?

Kwnye necta shule haimo je haifanyi mitihani ya wote?[/QUOTE]

Mkuu,
kwa vile umeandika "inaelekea" hakuna uhakika wa tuhuma hii

Umejuaje ni msaada kwa wenye mamilioni? Inaawezekana wenye mamilioni wanalipa na wanaosaidiwa ni wasio na mamilion.
Kwani kuna sheria inayowalazimisha kusaidia shule maskini?
Zipo shule nyingine zinafundisha mitaala tofauti na ya Tanzania na hawafanyi mitihani ya NECTA. Sio wa kwanza hawa.

Wanaowapeleka watoto wao huko na kulipa mapesa yote hayo wana sababu zao na wanao uhuru kamili wa kufanya hivyo. Na kwa wenye shule, iwapo wanapata faida kubwa - well wako kwenye biashara.
 
hata mimi nashangaa sana, kuna ndugu yangu anaombaga misaada huku majuu ya kujenga shule kwa ajili ya kusaidia watoto wasiojiweza lakini amefungua shule kibao ya fee yao ni miliion kumi kwa mwaka, je huu ni msaada au ni busagundulika bsiness? i hope at atagundulika soon! coz is not fair anasomesha watoto wa matajiri na msaada kapewa kwa kusaidia watoto wasio na uwezo!(RC)
 
wanaomba donations , ulaya wakiomba pesa kamwe hawataji kuwa kuna matajiri pesa zinapoenda na ndio ilivyo

si uingie kwenye website yao uone mbona umekunwa akili sio kukaa na walaji kujua kinachoendelea

ok ndio maana hawaonekani necta

mie nephews na nieces wangu wote wamo kwenye mashule ya mamilioni ila kukutana na shule inateggemea misaada ya watu mmmhhh as fees ni kubwa sanaaaaa na pesa zinaingia kwao

kama wanasaidia maskini wapi waseme basi, wazungu wao watadhani hiyo fees ndio wanachangia wao hao watoto wasome kumbe mmmmmm
Jana nilitembelea website ya Haven of peace academy ipo Mbezi beach, dar ilikuwa inaomba donations watoto wapate scholarships ila inaelekea huko USA wanaiongelea kama ni msaada kwa watoto wa tz wakati ni msaada kwa wenye mamillioni kulipia watoto.

Mie sielewi kwa nini wanaruhusiwa kuja kujitajirisha hapa Tanzania

School fees yaanzia dola $5000 kila level inapanda hadi over $7000

Hizi pesa wanafanyia nini je zinasaidia shule za masikini?

Kama ni wa kanisa huko usa kwa nini waje hapa ku charge pesa nyingi au ku target wenye nazo na kutosaidia wanaohitaji misaada?

Kwnye necta shule haimo je haifanyi mitihani ya wote?[/QUOTE]

Mkuu,
kwa vile umeandika "inaelekea" hakuna uhakika wa tuhuma hii

Umejuaje ni msaada kwa wenye mamilioni? Inaawezekana wenye mamilioni wanalipa na wanaosaidiwa ni wasio na mamilion.
Kwani kuna sheria inayowalazimisha kusaidia shule maskini?
Zipo shule nyingine zinafundisha mitaala tofauti na ya Tanzania na hawafanyi mitihani ya NECTA. Sio wa kwanza hawa.

Wanaowapeleka watoto wao huko na kulipa mapesa yote hayo wana sababu zao na wanao uhuru kamili wa kufanya hivyo. Na kwa wenye shule, iwapo wanapata faida kubwa - well wako kwenye biashara.
 
Back
Top Bottom