fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,257
- 3,882
Habari wakuu...
Niende moja kwa moja kwenye mada ni wakati gani utajua biashara unayofanya imekufa au imefilisika...nimejiuliza hili swali kwa nyakati tofauti na nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja ingawa nimepata mawazo yafuatayo
1)Pindi unapotoa pesa yako katika vyanzo vingine vya mapato na kuingiza ktk biashara
2)Biashara kushindwa kujilipia huduma muhimu kama frem,TRA,leseni
3)Frem kubaki nyeupe na kubakiwa na mashelf tupu au bidhaa chache
Hayo ni mawazo yangu...karibuni wadau je ni kwa wakati gani utajua hii biashara tayari imekufa ni ya kuachana nayo na kuangalia mambo mengine
Niende moja kwa moja kwenye mada ni wakati gani utajua biashara unayofanya imekufa au imefilisika...nimejiuliza hili swali kwa nyakati tofauti na nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja ingawa nimepata mawazo yafuatayo
1)Pindi unapotoa pesa yako katika vyanzo vingine vya mapato na kuingiza ktk biashara
2)Biashara kushindwa kujilipia huduma muhimu kama frem,TRA,leseni
3)Frem kubaki nyeupe na kubakiwa na mashelf tupu au bidhaa chache
Hayo ni mawazo yangu...karibuni wadau je ni kwa wakati gani utajua hii biashara tayari imekufa ni ya kuachana nayo na kuangalia mambo mengine