Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

Mndengereko

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
7,280
3,345
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.

Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?

Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.

Nawasilisha wadau
 
UMEANZA vizuri ila mwisho UKAJIFUNUA GAMBA LAKO.

Nani kakuambia POLISI wanaruhusiwa KUZUIA au KURUHUSU Mikutano/Maandamano?

Wao wana taarifiwa tu ili watowe ulinzi na hayo mengine hayawahusu.

Hiyo ndiyo KATIBA YA NCHI kwa sasa. Kama mambo huyajui KAA KIMYA.

HAKI HAIOMWBI ILA INAPIGANIWA.
 
ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau

Wewe sio mwanachama wa chama chochote ila umetumwa na wanachama wa CCM!

Rudi kajipange upya!
 
Fujo hutokea pale tu polisi wanapokuwepo kwenye mikutano ya CHADEMA.

Kwenye tukio la jana, haingii akilini kwa nini polisi wengi walikuwa wanamzunguka mwandishi mmoja tu wa habari?
 
Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.

Hii ni dunia......hakuna binadamu wa kawaida anayeweza kushangilia mauaji hata kama ni ya adui yake......kumbuka leo ni kwa Daudi(R.I.P) .....kesho inaweza kuwa kwako au kwa ndugu yako wa karibu......hutakufa kwenye maandamano ya CDM manake wewe sio mwanachama wao ila utauliwa hata na majambazi.......narudia tena hii ni dunia!
 
Fujo hutokea pale tu polisi wanapokuwepo kwenye mikutano ya CHADEMA.

Kwenye tukio la jana, haingii akilini kwa nini polisi wengi walikuwa wanamzunguka mwandishi mmoja tu wa habari?

Wanatii sheria bila shuruti kutoka kwa mkubwa wao JK!
 
Nani analia? Umesoma popote hapa mie NINALIALIA? Hebu soma kama nimejadili chochote kuhusu hili.

Muda wa kuendelea kujadili haya mauwaji umekwisha. Njia mbadala inabidi zianze kutafutwa.
Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
 
ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau
Wewe nafikiri una matatizo ya ubongo!! Kazi ya jeshi la polisi ni nini?
Hivi polisi wakiua watu wasiokuwa na makosa kwa risasi ni nani wa kulaumiwa!!
Kumbuka Arusha maandamano yaliruhusiwa na kuzuiliwa dakika za mwisho!! kwa sababu za "kiintelijensia".
Angalia kote utauona mkono mchafu wa serikali. Unasisitiza waache kukutana na wakutane kwa matakwa ya wakubwa, huku wenzao wa CCM wakifurahia ulinzi madhubuti wa jeshi hilo hilo kipindi hicho hicho.
Double standard ndiyo inayoudhi.
Jeshi la polisi na CCM wamedhamiria kuzuia mageuzi kwa nguvu za risasi za moto!! hili ni wazi. Kwa sasa mawazo na mtizamo wako hauna nafasi tena.
 
Kazi ya kichwa sio kufuga nywele.........mtoa mada naona kichwa chako unatumia kufuga nywele...mikutano ya cdm yote huwa na amami tatizo ni ccm na serekali ambazo siku zao zinahesabika.....gamba huonekana kwenye mavi yaliyokauka kumbe nawewe ni gamba loooooo!
 
unasema sio mnazi wa chama chochote lakini utakuwa unajua fika kuwa baada ya polisi kusababisha vifo pale Arusha na kusumbua sana cdm walifanya maandamano na mkutano bila hata chembe ya ulinzi wa polisi na kilichotokea kila kitu kiliisha bila hata chembe ya vurugu.
Tokea hapo wenye akilki zao wakajua na kama wewe hujajua hilo muulize mwenzio lakini utakuwa umechelewa sana kujua chanzo cha vurugu!
 
Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.

Tunajua kati yetu lipo kundi linalofaidika na huu mfumo uliopo na pengine na wewe pia ni miongoni mwao!! kwa hiyo ni lazima mtu kama wewe kufurahia kwa kila kinachotokea hivi sasa hapa nchini! Sikushangai!
Lakini kinachotokea leo ni mbegu tu mbaya inapandikizwa ipo siku kama utakuwa hai utajuta kwa kinachokuja kutokea mbele!
Kama hutokuwa hai basi itamhusu, mwanao au mjukuu wako ama vyovyote vile lakini itakuwa mbaya sana.

 
haingi akilini kuamini kwamba mara zote polisi hawawatendei haki chadema na pia ni ngumu kwa mimi kuamini kwamba chadema wapo sahihi mara zote yaani hawakosei kuna kitu wankipandikiza jamnai tufunguke nilijua mtaniita mimi gamba lakinii huu ndio ukweliambao mimi naudhania
 
UMEANZA vizuri ila mwisho UKAJIFUNUA GAMBA LAKO.

Nani kakuambia POLISI wanaruhusiwa KUZUIA au KURUHUSU Mikutano/Maandamano?

Wao wana taarifiwa tu ili watowe ulinzi na hayo mengine hayawahusu.

Hiyo ndiyo KATIBA YA NCHI kwa sasa. Kama mambo huyajui KAA KIMYA.

HAKI HAIOMWBI ILA INAPIGANIWA.

Haki inaambatana na wajibu mkuu na hakuna uhuru usio na mipaka

Kazi ya polisi haiishii kupokea taarifa tu na kuleta ulinzi, ni lazima pia waangalie hali halisi ya kiusalama inaruhusu hicho kinachotakiwa kufanyika kifanyike
Sasa kama polisi wataona kunasababu za msingi hicho kilichotaarifiwa kufanyka kitasababisha kukosekana kwa usalama ambao wao kama chombo cha kazi hiyo wanaona iwapo kikitokea na wakijaribu kizima inaweza kuleta mdhara basi wanawajibu wa kusitisha au kubadili utaratibu

Ingawa maranyingi Polisi wanakuwa wanatoa maamuzi ya kionevu na kibabe dhidi ya CDM lakini pia CDM nao wakati mwingine wawe wanaangalia pia, maana kuwashawishi tu watu kufanya kitu ambacho kinapelekea vifo na pengine kupeleke kukipa umaarufu zaidi chama tu sio busara nzuri pia

Na most of time ni maandamano/matembezi ndio yanaleta tabu na si mikutano
Naamini wanaweza kabisa kufanya mikutano yao vizuri na wananchi wakawasikia na kuwaelewa bila kuanza kuandamana mabarabarani
 
ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau

mndengereko kwa taarifa yako polisi wamekuwa wakivamia mikutano ya chadema na kuanzisha vurugu kulikuwa na haja gani kutumia polisi kwa mkutano wa kufungua tawi kijijini??chaguzi za chama zinazofanyika kwenye matawi mpaka watu kutishiana bastola mbona polisi hawafanyi uvamizi kama ule wanaofanya kwenye mikutano ya chadema??kwa hakika nchi inakwenda autopilot daudi mwangosi anapigwa bomu la tumbo rpc anaangalia polisi wamemshikilia ilijamaa washoot tumbo bado unaongea ujinga mndengereko???polisi watakanusha sana lakini awamu hii na huko tunakokwenda hali yao itakuwa mbaya sana.wameamua kutekeleza mikakati ya ccm kuvuruga vyama vya upinzani kwa bahati mbaya muda ndio unatoa hukumu.
 
kwa arusha ninajua kwamba kabisa polisi walichemka lakini vipi seemu nyingine ambapo chadema waliambiwa kuna sensa na wenyewe wakanagania kufanya mkutano
 
Ndiyo matatizo ya kula kabla hujapiga mswaki.

Pitia habari hizi na angalia kama kulikuwa na MKUTANO WA NJE au maandamano.

Safari hii POLISI wamedai lazima kuwe na mikutano ya NDANI TU na si ya nje.

Ila hapohapo, Mwanza wameruhusiwa kufanya FIESTA (TAMASHA).

Na hata hivyo, sababu ya KUPIGA waandishi wa habari ni nini?

Kumbuka aliyeuawa alikwenda kuuliza kwa nini wanampiga Mwandishi mwingine.

Anyway, sikujua kuwa Waandishi wa habari walikuwa wanaandamana jana huko Iringa.
Haki inaambatana na wajibu mkuu na hakuna uhuru usio na mipaka

Kazi ya polisi haiishii kupokea taarifa tu na kuleta ulinzi, ni lazima pia waangalie hali halisi ya kiusalama inaruhusu hicho kinachotakiwa kufanyika kifanyike
Sasa kama polisi wataona kunasababu za msingi hicho kilichotaarifiwa kufanyka kitasababisha kukosekana kwa usalama ambao wao kama chombo cha kazi hiyo wanaona iwapo kikitokea na wakijaribu kizima inaweza kuleta mdhara basi wanawajibu wa kusitisha au kubadili utaratibu

Ingawa maranyingi Polisi wanakuwa wanatoa maamuzi ya kionevu na kibabe dhidi ya CDM lakini pia CDM nao wakati mwingine wawe wanaangalia pia, maana kuwashawishi tu watu kufanya kitu ambacho kinapelekea vifo na pengine kupeleke kukipa umaarufu zaidi chama tu sio busara nzuri pia

Na most of time ni maandamano/matembezi ndio yanaleta tabu na si mikutano
Naamini wanaweza kabisa kufanya mikutano yao vizuri na wananchi wakawasikia na kuwaelewa bila kuanza kuandamana mabarabarani
 
ndugu zangu wan jf embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni mimi sio mnazi wala mwanachama wa cham chochote ila kila ninaposikia chadema wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa maoni nionavyo mimi nimkama vile chadema wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa kwani chadema wakiahirisha mkutano wao mpk siku watakokubaliana na jeshilapolisi kosa linakuwepo wapi hivi hatuoni kwamba uhaiwa binaadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafdhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakiini kama chadema wangefuata maagizo yao asjingekufa mtu iringa,morogoro wala arusha nawasilisha wadau
Kama sikosei wewe ni aidha ni punguani.Maana swali la kwanza ulipaswa kujiuliza wewe mwenyewe ni kwamba nini kazi ya jeshi la polisi na nini kazi ya chama cha siasa na chama cha siasa ni kitu gani..Ujiulize kwanini jeshi la polisi liombwe na kwanini kila likiombwa na CDM lazima likatae!!!Kisha ungejiuliza kwani jeshi la polisi haliwezi kuwalinda chadema kwa amani?Ukishapata hayo majibu ndo uje hapa jamvini soi unaanza ooh mimi sio mnazi wa siasa alafu unaleta pumba zako za kitoto hapa!Watu kama ninyi ndo mnadhani mtanzania sana ni yule aliye CCM na Chadema sio watanzania na hawana haki ya kuishi...Sasa ujue tu kwamba CDM sio mbowe wala wilbroad slaa wala kabwe chadema ni watanzania wote wenye haki ya kukutanika kusikiliza sera za kila chama na neno chama ni jina tu ila ni watanzania haohao sio kama unavyotaka kutufikirisha ujinga wako kwamba labda chama ni jitu fulani lililotoka maporini au mbinguni au baharini!Emu muulize hata mtoto wako wa chekechea kwanini polisi wauwe watu ambao hawana uhusiano na wanasiasa wanauwa mara muuza magazeti mara mwandishi wa habari tena wako rundo yeye mmoja tu na hana silaha!!!Sasa kwa upunguani utakuta mke wako siku katolewa utumbo na polisi na wala hajui hata siasa kama ulivowewe huijui Kilaza wewe!!!
 
Back
Top Bottom