Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,957
- 93,937
Fujo hutokea pale tu polisi wanapokuwepo kwenye mikutano ya CHADEMA.
Kwenye tukio la jana, haingii akilini kwa nini polisi wengi walikuwa wanamzunguka mwandishi mmoja tu wa habari?
Zaidi ya hapo mkuu, mtu aliyejisalimisha huwa analala chini au anapiga magoti..sasa iweje mtu huyo aendelee kupigwa au kusubiwa na taasisi ambayo imepewa jukumu la kulinda na kutetea haki za raia?