Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Tatizo siyo DP World, tatizo ni kumbukumbu zetu. Sababu zinazotolewa ni zilezile na serikali inayotoa ni ya Chama kilekile;
Mwisho wa siku tukajikuta tunarudisha mikomoni mwa "Wazalendo!"
Hili la bandari ni majaribio yaleyale ya kushindwa kwetu? Mkataba Umeambatanishwa chini.
- NBC
- TANESCO
- ATC
- TRC
Mwisho wa siku tukajikuta tunarudisha mikomoni mwa "Wazalendo!"
Hili la bandari ni majaribio yaleyale ya kushindwa kwetu? Mkataba Umeambatanishwa chini.