mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Kalenga MP Dr William Mgimwa said they wanted to be sure that the plan would have impact on the countrys economy, warning if the government failed to draw up a proper budget and control misappropriation of public funds, then the country would not reach far.Dr Mgimwa who is an economist called for improvement in revenue collection, noting: We only collected 5.7trillion shillings against 10.2 trillion shillings which we spent, he said
Nimesoma ippmedia website ya tarehe 25/04/12 .Nimecopy hicho kipande na kukipaste hapa!Aliyeandika hiyo habari ni Patrick Kisembo!
Kuna mambo mawili ambayo yanapotosha!
1. Mgimwa sio economist,you can say ni banker wa Kitanzania(ex-NBC).
2.Nimeangalia CV yake ,sijui hiyo Phd ni ya wapi,Mzumbe ? au ni za akina Makanga,Nchimbi?
Nimesoma ippmedia website ya tarehe 25/04/12 .Nimecopy hicho kipande na kukipaste hapa!Aliyeandika hiyo habari ni Patrick Kisembo!
Kuna mambo mawili ambayo yanapotosha!
1. Mgimwa sio economist,you can say ni banker wa Kitanzania(ex-NBC).
2.Nimeangalia CV yake ,sijui hiyo Phd ni ya wapi,Mzumbe ? au ni za akina Makanga,Nchimbi?