Waziri wa TAMISEMI Tunaomba usitishe mafunzo haya, huu ni upigaji wa fedha na mafunzo yatolewe online

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,829
21,461
Kwa heshima na taadhima ninamuomba Waziri wa Tamisemi asitishe mafunzo haya kwani katana tija na ni upotevu mkubwa wa fedha Za umma.
1. Mafunzo Haya watumishi wanasafiri kipindi cha sikujua Za mwisho wa mwaka
2. Mafunzo Haya tafanyikie kwenye kila mkoa au kila Wilaya
3. Fedha Za mafunzo Haya zitumike kutengeneza Marwari ya kidato cha kwanza2024.
4. Watalipwa nauli, chakula, posho na usafiri ambapo gharama ni kubwa sana.

Hii imeandaliwa Kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka Ili watu Walipe pesa na nia Sio mafunzo.
Mafunzo Haya yangeweza kutokea online Kwa Gharama nafuu.
 

Attachments

  • MWALIKO WA VIONGOZI WA ELIMU NGAZI YA MKOA, HALMASHAURI NA KATA KUSHIRIKI MAFUNZO YA KUWAJENGE...pdf
    2.2 MB · Views: 3
Hivi unajua kuwa huo ni utekelezaji wa Mtaala mpya ambao mlikuwa mnalialia humu kuwa Elimu na mitaala yetu ni out-fashioned?

Sasa unasema wafanye online unajua gharama gani inahitajika kufanya hili zoezi online na resources na wataalamu wangapi wanahitajika? Ondoa vitu kama mitandao mibovu na sehemu nyingine mitandao hiyo haipo

Watu wanapokutana pamoja wanashare changamoto na baadae kupata ufumbuzi
 
Mafunzo ni Muhimu ila muhimu mafunzo yafanyike kimkoa.
Unachukua walimu mwanza siku Za Xmas unawapeleka mbeya?
Mbona wengine wanatolewa tanzania wanaenda dubai kufanya mafunzo mbalimbali
Au walimu hawaruhusiwi kufanya hayo mafunzo eneo jingine???
 
Kwa heshima na taadhima ninamuomba Waziri wa Tamisemi asitishe mafunzo haya kwani katana tija na ni upotevu mkubwa wa fedha Za umma.
1. Mafunzo Haya watumishi wanasafiri kipindi cha sikujua Za mwisho wa mwaka
2. Mafunzo Haya tafanyikie kwenye kila mkoa au kila Wilaya
3. Fedha Za mafunzo Haya zitumike kutengeneza Marwari ya kidato cha kwanza2024.
4. Watalipwa nauli, chakula, posho na usafiri ambapo gharama ni kubwa sana.

Hii imeandaliwa Kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka Ili watu Walipe pesa na nia Sio mafunzo.
Mafunzo Haya yangeweza kutokea online Kwa Gharama nafuu.
Rafiki, andiko lako lina makosa mengi sana ya kiundishi yanayopoteza maana unayotaka wasomaji wako waelewe ktk sentensi (check the bold inked words)..

Hebu pitia tena andiko lako na fanya masahihisho ya hizo word typing errors..
 
Mfano: walimu kutoka arusha wageni mafunzo chuo cha ualimu patandi au monduli
Kilimanjaro walimu wafanyie chuo cha ualimu marangu
Badala ya kuwapeleka kleruu iringa
 
Acha na wao wale posho aisee ya serikali. Sio mbaya mara moja moja. Tena hapo naona wamewabania.

Tena ingekuwa mimi ndio mratibu wa Dar wangeenda kigoma, wa Kigoma wangeenda Dar, wa Mwanza wangeenda Ruvuma, wa Ruvuma wangeenda Mwanza n.k.

Yaani wabadilishe kabisa mazingira ili wawe Comfortable hata Ku enjoy mafunzo.

Hivyo yaani.
 
Mfano: walimu kutoka arusha wageni mafunzo chuo cha ualimu patandi au monduli
Kilimanjaro walimu wafanyie chuo cha ualimu marangu
Badala ya kuwapeleka kleruu iringa
Kwahiyo wewe ndio una uchungu na pesa za serikali?

Acha watu wapate posho 2024 waanze mioyo ikiwa na furaha.
 
Kwa heshima na taadhima ninamuomba Waziri wa Tamisemi asitishe mafunzo haya kwani katana tija na ni upotevu mkubwa wa fedha Za umma.
1. Mafunzo Haya watumishi wanasafiri kipindi cha sikujua Za mwisho wa mwaka
2. Mafunzo Haya tafanyikie kwenye kila mkoa au kila Wilaya
3. Fedha Za mafunzo Haya zitumike kutengeneza Marwari ya kidato cha kwanza2024.
4. Watalipwa nauli, chakula, posho na usafiri ambapo gharama ni kubwa sana.

Hii imeandaliwa Kwa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka Ili watu Walipe pesa na nia Sio mafunzo.
Mafunzo Haya yangeweza kutokea online Kwa Gharama nafuu.
Kazi iendelee.
 
Mbona wengine wanatolewa tanzania wanaenda dubai kufanya mafunzo mbalimbali
Au walimu hawaruhusiwi kufanya hayo mafunzo eneo jingine???
Pale mtu anapotetea ujinga kwa kipimo Cha ujinga mwingine!
Hio ndio Afrika yetu!
 
Pale mtu anapotetea ujinga kwa kipimo Cha ujinga mwingine!
Hio ndio Afrika yetu!
Kwanini jambo hili likifanywa kwa wale ni sawa lakini jambo hilo hilo likifanywa kwa wale sio sawa

Wewe hapa umeubatiza jina umeuita ujinga lakini wenzako wanaishi na huo huo ujinga wanakuachia wewe werevu wako

Kiukweli inaumiza sana yaani kila jambo serikali ikitaka kufanya zuri walau kumotisho walimu watu wanalipinga nitakupa mfano mdogo hapa;

Mosi, serikali ilitaka kuwakopoesha walimu wote nchini nzima magari limepingwa mpaka mwisho

Pili, serikali ilitaka kuongeza na kuboresha zaidi maslai ya walimu na allowances mbalimbali. Watu walishambulia sana kuwa huko ni kuchezea pesa za wananchi

Tatu, serikali inatakaa kuwapa walimu semina na warsha na workshop mbalimbali walimu ili waweza kutoa maarifa na ujuzi kwa wanafunzi wakati huu wa mtaala mpya tayari mmeanza kuleta mikiriti

Basi nendeni mkafundishe nyie jaman
 
Back
Top Bottom