BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Hakia Mungu kweli hii nchi inatia aibu,wakati waziri wa uingereza akikata first class anaeleza sababu maalumu huku leo kimetokea kituko.
Waziri wenu wa nishati ambae anazidi kutulaza na joto na giza leo amewaacha hoi watanzania pale alipofika mpaka airport na akiwa anaboard akakuta anawekwa sehemu ya bussiness pax....baada ya kuwaambia hayuko first class akagoma na kutoka nje ya mlango
wakati hayo yakiendelea kumbe ana umati wa wenzake zaidi ya 9 wako economy na wawili bussiness class ...gafla nao wakaanza kushuka.
Hapo ndipo hekima za mmoja wa wahusika wa airline akamwomba hao waende then ye akabadilishe aje keshoo
Jamani kweliii kweliii first class inakushushia aibu hivi prof na bado unasema maisha.
Inaonekana zile buti za bora ulizivalia ukiwa form 5 haya ndio madhara yake mnapewa vyeoo wakati maisha yalishawapiga mnatafuta muafaka na yesu mkiwa madarakani.
Embu kuweni wastaarabu bana,sasa wale watu 9 ulitaka kuwashusha kwa nini na kama wamekwenda ulishindwa kuwambia wabaki mpaka mkaanza kuleta aibu uwanjani.
Inaonekena ndege m meanza kupanda uzeeni, najiuliza kivipi unaletewa tiketi hata kama na travel agency alafu unashindwa kuuliza ama kukagua mpaka unaenda uwanjani...unapewa bpass bado unashindwa kukagua ipi bussiness class bp..ipi first class loh so bad.
Waziri wenu wa nishati ambae anazidi kutulaza na joto na giza leo amewaacha hoi watanzania pale alipofika mpaka airport na akiwa anaboard akakuta anawekwa sehemu ya bussiness pax....baada ya kuwaambia hayuko first class akagoma na kutoka nje ya mlango
wakati hayo yakiendelea kumbe ana umati wa wenzake zaidi ya 9 wako economy na wawili bussiness class ...gafla nao wakaanza kushuka.
Hapo ndipo hekima za mmoja wa wahusika wa airline akamwomba hao waende then ye akabadilishe aje keshoo
Jamani kweliii kweliii first class inakushushia aibu hivi prof na bado unasema maisha.
Inaonekana zile buti za bora ulizivalia ukiwa form 5 haya ndio madhara yake mnapewa vyeoo wakati maisha yalishawapiga mnatafuta muafaka na yesu mkiwa madarakani.
Embu kuweni wastaarabu bana,sasa wale watu 9 ulitaka kuwashusha kwa nini na kama wamekwenda ulishindwa kuwambia wabaki mpaka mkaanza kuleta aibu uwanjani.
Inaonekena ndege m meanza kupanda uzeeni, najiuliza kivipi unaletewa tiketi hata kama na travel agency alafu unashindwa kuuliza ama kukagua mpaka unaenda uwanjani...unapewa bpass bado unashindwa kukagua ipi bussiness class bp..ipi first class loh so bad.