Kafulila: Simbachawene hana weledi kuwa waziri wa nishati na madini

kyalankota

JF-Expert Member
Jul 27, 2014
2,560
1,399
Mbunge wa Kigoma kusini mh. David Kafulila a.k.a tumbili kwa mujibu wa kauli ya Werema, amedai kuwa George Simbachawene ambaye amerithi nafasi ya kiporo prof. Muhongo hafai kuwa waziri wa nishati na madini kwa kuwa hana weledi wa kutosha kwa changamoto za wizara hiyo ikiwemo soko la mafuta la dunia.

Ameongeza kuwa Muhongo alikuwa na weledi kwa nafasi yake tatizo alihusika kwenye kashfa ya escrow hivyo kupoteza uaminifu.

Chanzo: Mtanzania
 
Simbachawene ni jasiri sana. Kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alikuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini na alifanya vizuri. Ni uzao wa Prof Muhongo
 
Mbunge wa Kigoma kusini mh. David Kafulila a.k.a tumbili kwa mujibu wa kauli ya Werema, amedai kuwa George Simbachawene ambaye amerithi nafasi ya kiporo prof. Muhongo hafai kuwa waziri wa nishati na madini kwa kuwa hana weledi wa kutosha kwa changamoto za wizara hiyo ikiwemo soko la mafuta la dunia.
Ameongeza kuwa Muhongo alikuwa na weledi kwa nafasi yake tatizo alihusika kwenye kashfa ya escrow hivyo kupoteza uaminifu.

Source: Mtanzania.
Amewekwa kwa sababu maalum
 
  • Thanks
Reactions: 999
Tumpe nafas afanye mm sioni kama inahtaji sana weredi mkubwa kuendesha wizara....wapo watendaji wengne atasaidiana nao na mambo yataenda tu wakuu....ukwel uko wazi mfumo uliopo ni ngumu kufanya vzr kwny wizara yyte ile hata angepewa mtakatifu na mweredi wa kiwango gani....Tumuombee amalize salama.
 
Kwa hiyo Tumbili alitaka ateuliwe nani kwenye nafasi hiyo? Kumpata mtu mwenye Weledi kama Prof Mohongo ni kazi sana. Ndani ya Bunge hakuna. Ndo maana Rais aliamua kumteua Muhongo kuwa Mbunge then akampa wizara hiyo
 
Mbunge wa Kigoma kusini mh. David Kafulila a.k.a tumbili kwa mujibu wa kauli ya Werema, amedai kuwa George Simbachawene ambaye amerithi nafasi ya kiporo prof. Muhongo hafai kuwa waziri wa nishati na madini kwa kuwa hana weledi wa kutosha kwa changamoto za wizara hiyo ikiwemo soko la mafuta la dunia.
Ameongeza kuwa Muhongo alikuwa na weledi kwa nafasi yake tatizo alihusika kwenye kashfa ya escrow hivyo kupoteza uaminifu.

Source: Mtanzania.

afadhari simbachawene hakuna mbunge yeyote wa upinzani ambaye atafiti upinzane ni wote wasakatonge
 
Kwa hiyo Tumbili alitaka ateuliwe nani kwenye nafasi hiyo? Kumpata mtu mwenye Weledi kama Prof Mohongo ni kazi sana. Ndani ya Bunge hakuna. Ndo maana Rais aliamua kumteua Muhongo kuwa Mbunge then akampa wizara hiyo
Asante kwa kutambua kuwa hakuna mbunge mwingine wa CCM mwenye akili za kueleweka, maana yake ni nini, ndani ya CCM wote wameoza ndiyo maana rais anafanya re cycling ya mawaziri anasaga makopo used ya plastic na kuyafanya mifuko ya lambo.
 
Back
Top Bottom