....aisee wee jamaa kwa kukariri ligi........!.....sasa unamtaka SMU ili uendeleze ligi au....?
Hakuna ligi hapa, watu wanajadiliana tu, hujui kuvuta hisia katika mada. Nilikuwa wala sina haja SMU aje. Soma na kisha fikiri ndio ujibu. Nani katangaza kuwa kujadiliana hapa JF ni ligi?, na kama itakuwa hivyo kwamba mtu akijadili kitu ni ligi, basi mijadala itakufa hapa JF, na mijadala ikifa ina maana hakuna haja JF iwepo. Soma vizuri kabla hujajibu kitu, ama unaongeza "posts".