Sitasahau siku moja mwaka 2014 ilipokuja defender na askari sita full loaded wakiwa na smg na bastola... Kisa niliyemdhamini hapatikani
Utakuwa ulimdhamini mwanachama au kiongozi wa Chadema MKUU. Watch out!
Sitasahau siku moja mwaka 2014 ilipokuja defender na askari sita full loaded wakiwa na smg na bastola... Kisa niliyemdhamini hapatikani
Next is @Mwingulu nchemba jipange kisaikolojia bro
Mwingulu hajui saa wa dk atakapo kuja mwana wa Adam kuja kumtengua uwaziri
Mlimsikia mwenyekiti anasema kuna waziri mmoja anasumbua anatoa siri,nimemshtaki Kwa baba yake. Huyo ni makambaMIMI NADHANI MAWAZIRI AMBAO HAWANA FURAHA KUFANYA KAZI KTK NCHI HII YA KUSADIKIKA WATUMIE FURSA YA KULAANI ALICHOFANYIWA NAPE ILI WATUMBULIWE WABAKI NA UBUNGE WAO ILI MFALME HADI AMPANDISHE DAUD AMPE WIZARA KTK CCM MAWAZIRI 3, NAPE,JANUARY & MWIGULU WALIPIGANIA KWELI KWENYE LAST UCHAGUZI ILA KWA SASA HAWAAMINI LAZIMA KUNA KITU
Ngoja nikusaidie mkuu kutoa Maelezo, askari kuwa na Silaha ya moto hadharani sio kosa, kosa ni kwamba alipointi bastola kwa nape huku akijua sio muharifuNaomba unielewe hatuzuii mtu yeyote kukamatwa wala kuhojiwa wala kukatazwa jambo, nasemea utaratibu wa kuoneshwa bastola hadharani sio kitendo cha kiuaskari na sio kitendo cha Tanzania, hata Lema na Lisu hawajawahi kunyoshewa bunduki. Usichanganye sheria kuchukua mkondo na bunduki kuchukua mkondo
hao waache kwanza hawaonekani vizuriNa wale waliovamia clouds ampelekee IGP footage za cctv mimi namjua mmoja.
Hujui ulisemalo kwani hao unawadharau leo wakija kwenu mtawapokea kama watume na wafalme tena mtawasujudu kuliko ata Mwenyekiti wenu wa chama kwakuwa waliandaliwa kuwa viongozi bora na si kuwa watawala....Wanafik km kina nape, Mwigulu, makonda, makamba hawafai kuaminiwa wakapewa madaraka
Siku zote wanaangalia upande wenye maslahi
Lakini sometime bora utumbuliwe kwa kuwa sahihi kuliko kutumbuliwa kwa kufanya mambo ya hovyoNasikia harufu ya mtu kutumbuliwa
Wamemdhalilisha sana Nape
Ni bora utumbuliwe kwa kusimamia ukweli halisi wa jambo kuliko utumbuliwe kwa sababu isiyo na mashiko.Mwigulu Nchemba kumbe haujamuelewa, kwa ujumbe huu sio kwamba anahitaji kujipanga kisaikolojia, ni kwamba tayari ameshaamua kueleza hisia zake za kuonyesha kutokuridhishwa na mambo yanavyoendeshwa na sio hivyo tu, ameonyesha kumuunga mkono Nape. Ni kitendo cha kijasiri kwa awamu hii kutuma ujumbe wa aina hiyo kama haujajipanga, anajua anachokifanya.
Nawale walio vamia clouds
SWALI: KWA NINI WAZIRI AAGIZE NA ASIKAMATWE KWANZA,NDO ATOE TAARIFA KUWA YEYE NDO KAAGIZA LIFANYIKE?View attachment 485970
Mwigulu Nchemba(Kushoto) akizungumza na Nape Nnauye katika ukumbi wa NEC kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma 10/15/2014(Maktaba)
Mh. Nape Moses Nnauye sio jambazi, ni mtanzania, ni mbunge, mjumbe wa NEC wa CCM, hana record ya uhalifu. Kitendo cha mtu kumtolea Bastola, Sio cha kiasikari, sio cha kitanzania na sio cha ki Mungu, kama mtu ameweza kutoa Bastola mbele ya Kamera nawaza mbali ingekuwa kwenye uchochoro angefanya nini.
Nahusika na Usalama wa Raia wote wa Tanzania, nimemwelekeza IGP atumie picha kumsaka mtu yule aliyeinua kufanya kitu cha kihalifu kwa kofia ya uaskari. Na kama ni Askari basi sheria zinazoongoza taasisi husika zichukue mkondo wake.
======
View attachment 485994
Naungana na ww kulaani pia nakupongeza kwa hatua ulizochukua kama kiongozi mwenye dhamana..........nakukumbusha tu clouds walivamiwa na bunduki usiku na watangazaji wakatishiwa kupelekwa jela na kupewa kesi za madawa ya kulevyaView attachment 485970
Mwigulu Nchemba(Kushoto) akizungumza na Nape Nnauye katika ukumbi wa NEC kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma 10/15/2014(Maktaba)
Mh. Nape Moses Nnauye sio jambazi, ni mtanzania, ni mbunge, mjumbe wa NEC wa CCM, hana record ya uhalifu. Kitendo cha mtu kumtolea Bastola, Sio cha kiasikari, sio cha kitanzania na sio cha ki Mungu, kama mtu ameweza kutoa Bastola mbele ya Kamera nawaza mbali ingekuwa kwenye uchochoro angefanya nini.
Nahusika na Usalama wa Raia wote wa Tanzania, nimemwelekeza IGP atumie picha kumsaka mtu yule aliyeinua kufanya kitu cha kihalifu kwa kofia ya uaskari. Na kama ni Askari basi sheria zinazoongoza taasisi husika zichukue mkondo wake.
View attachment 485970
Mwigulu Nchemba(Kushoto) akizungumza na Nape Nnauye katika ukumbi wa NEC kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma 10/15/2014(Maktaba)
Mh. Nape Moses Nnauye sio jambazi, ni mtanzania, ni mbunge, mjumbe wa NEC wa CCM, hana record ya uhalifu. Kitendo cha mtu kumtolea Bastola, Sio cha kiasikari, sio cha kitanzania na sio cha ki Mungu, kama mtu ameweza kutoa Bastola mbele ya Kamera nawaza mbali ingekuwa kwenye uchochoro angefanya nini.
Nahusika na Usalama wa Raia wote wa Tanzania, nimemwelekeza IGP atumie picha kumsaka mtu yule aliyeinua kufanya kitu cha kihalifu kwa kofia ya uaskari. Na kama ni Askari basi sheria zinazoongoza taasisi husika zichukue mkondo wake.
======
View attachment 485994
Sawa sawa Mwigulu. Hata kama ukitumbuliwa lakini umefanya kile kilichostahili, regardless of the consequences.Baada ya tukio la mtu ana anayedaiwa kuwa ni Askari kanzu kuonekana akimtishia Bastola Waziri za zamani wa Habari, utamaduni, sanaa na michezo na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye February 23, 2017 wakati alipotaka kuongea na Waandishi wa habari muda mchache baada ya taarifa ya Rais Magufuli kufanya mabadiliko ya Wizara aliyokuwa akiiongoza.
Leo March 24, 2017 Waziri wa Mambo ya Ndani, ya nchi Mwigulu Nchemba alitumia ukurasa wake wa Intagram na kusema..’Mh.Nape Moses Nnauye sio jambazi, ni mtanzania, ni mbunge, mjumbe wa NEC wa CCM, hana record ya uhalifu‘
‘Kitendo cha mtu kumtolea Bastola, Sio cha kiaskari, sio cha kitanzania na sio cha ki Mungu, kama mtu ameweza kutoa Bastola mbele ya Kamera nawaza mbali ingekuwa kwenye uchochoro angefanya nini‘ –Mwigulu Nchemba
‘Nahusika na Usalama wa Raia wote wa Tanzania, nimemwelekeza IGP atumie picha kumsaka mtu yule aliyeinua kufanya kitu cha kihalifu kwa kofia ya uaskari. Na kama ni Askari basi sheria zinazoongoza taasisi husika zichukue mkondo wake‘ –Mwigulu Nchemba
Mheshimiwa mbona tukio la clouds umepiga kimya sasa Raia tuna hofu na usalama wetu maana twaelekea Somalia sasa.Naomba unielewe hatuzuii mtu yeyote kukamatwa wala kuhojiwa wala kukatazwa jambo, nasemea utaratibu wa kuoneshwa bastola hadharani sio kitendo cha kiuaskari na sio kitendo cha Tanzania, hata Lema na Lisu hawajawahi kunyoshewa bunduki. Usichanganye sheria kuchukua mkondo na bunduki kuchukua mkondo.
Heeeeh hadi wewe!!Nchemba hapo kama unajiosha tu.
Isiishie kwa kuwaagiza polisi, inatakiwa uwape masaa wakuletee ripoti, huyo ni nani na kwanini alifanya vile na kama ni askari nani alimpa amri ile, chain of command iliyofanya yale ijulikane, tuone hiyo chain ya command kama ilianzia tokea kwako au ilianzia kati kati.
Bila kufanya hivyo basi wewe ni Waziri husika wa usalama wetu na inabidi ufanye wajibu wako ili tuelewe kuwa na wewe huhusiki kwa Nape kuwa harassed namna ile.
Nnawaza tu, ikiwa mtu kama Nape anafanyiwa vile, sisi wenzangu na mie si tupo mashakani.
Mbwa wa polisi hakamati mtu bila ya kupewa amri, hali kadhalika kwa polisi mwenyewe kama ni polisi.
Tunataka mizizi ya huo ujinga ing'oke.
You can do much better than that kama hautaki nafsi yako ikusute. Otherwise utakuwa ni mnafik tu.