Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Mh waziri wa afya
nimewiwa kusema haya baada ya muhimbili kutumia mamilion ya fedha
katika kusherekea kutimiza miaka yake kumi ama a kuzaliwa kuanzishwa nimejiuliza siku zote mh waziri wanakuita unaishia kwenye sherehe milo sijui swla la pdiem kama wanakumegea lakini nimejiuliza mh waziri katika pita pita zako embu tembelea wad za wazazi maternity annex,wd 37,36 uone wanawake wakiwa na wwatoto wachanga walivyolazwa chini mhe waziri hakika utajiuliza kwa nini unakalia kiti cha laki sita na meza ya laki nne huku ukiwa na ac ya million moja.2...inaumiza sana sana mh waziri kuona muhimbili mnayoisherekea wah wachache wanaenda pale tena hasa wakati wamezidiwa na wengi huishia maisha yao pale ...sasa mkiwa kama waheshimiwa embu tengezeni muhimbili,mwanyamala hosp,temeke muwe mifano kwa watoto wenu na ndug familia kwenda kwenye hizi hosp kama mnaenda aghakan hosp ama regency inapendeza sana...tunaomba swala la wajawazito mshugulikie tafadhali....pili kuna malalamiko mengi wale manesi wanalipwa pesa ndogo sana kulingana na kazi wanayoifanya jamani embu waangalien wale watu kumbukeni ndio wanatuletea watu dunian na nyie mjkijidai mna wananchi....tunaomba waongezewe ama kupewa ka allowance katakachofanya waheshimu kututotole watoto wetu..bila matatizo najua mh waziri labda wetu wameandaliwa kuzali aghakan lakin vyema na hawa wa amitaani wasaidike jamani na kodi tuunazotumia...wale wah wajanja sana wanakupeleka wadi za private wakulete huku wd 36 37 34 uone kariakoo ni wadi ama sehemu ya kuzalia???inasikitisha mytu kulinganisha sehemu ya kuzalia na kariakoo shimoni ambamo akuna hata sehemu ya kupita unaruka watu......
Waslaam
mpendwa
nimewiwa kusema haya baada ya muhimbili kutumia mamilion ya fedha
katika kusherekea kutimiza miaka yake kumi ama a kuzaliwa kuanzishwa nimejiuliza siku zote mh waziri wanakuita unaishia kwenye sherehe milo sijui swla la pdiem kama wanakumegea lakini nimejiuliza mh waziri katika pita pita zako embu tembelea wad za wazazi maternity annex,wd 37,36 uone wanawake wakiwa na wwatoto wachanga walivyolazwa chini mhe waziri hakika utajiuliza kwa nini unakalia kiti cha laki sita na meza ya laki nne huku ukiwa na ac ya million moja.2...inaumiza sana sana mh waziri kuona muhimbili mnayoisherekea wah wachache wanaenda pale tena hasa wakati wamezidiwa na wengi huishia maisha yao pale ...sasa mkiwa kama waheshimiwa embu tengezeni muhimbili,mwanyamala hosp,temeke muwe mifano kwa watoto wenu na ndug familia kwenda kwenye hizi hosp kama mnaenda aghakan hosp ama regency inapendeza sana...tunaomba swala la wajawazito mshugulikie tafadhali....pili kuna malalamiko mengi wale manesi wanalipwa pesa ndogo sana kulingana na kazi wanayoifanya jamani embu waangalien wale watu kumbukeni ndio wanatuletea watu dunian na nyie mjkijidai mna wananchi....tunaomba waongezewe ama kupewa ka allowance katakachofanya waheshimu kututotole watoto wetu..bila matatizo najua mh waziri labda wetu wameandaliwa kuzali aghakan lakin vyema na hawa wa amitaani wasaidike jamani na kodi tuunazotumia...wale wah wajanja sana wanakupeleka wadi za private wakulete huku wd 36 37 34 uone kariakoo ni wadi ama sehemu ya kuzalia???inasikitisha mytu kulinganisha sehemu ya kuzalia na kariakoo shimoni ambamo akuna hata sehemu ya kupita unaruka watu......
Waslaam
mpendwa