BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,413
- 8,199
Waziri wa Afya ametoa kauli hiyo baada ya Watumishi 2 wa Afya, Rose Shirima na James Getogo kutoka Zahanati ya Ishihimulwa, Tabora kuonekana wakijibizana kuhusu kutumia Vipimo vya #Malaria vinavyodaiwa kuisha muda wa Matumizi.
Ummy amesema “Nimeona clip Mtu anang’ang’ana kumpima Mgonjwa Malaria kwa kipimo ambacho kime-expire mwenzie anamkatalia, yeye anatoa majibu ya hovyo, mwaka huu tutawajibishana”.
“Nimetoka kumwambia #MgangaMkuu wa Serikali kuna ongezeko la Uzembe, Kutozingatia Maadili, Weledi na Miongozo ya Serikali kwa baadhi ya Watumishi wa Afya, hatutomfumbia macho Mtu, tunataka tuwapate wachache tuwaoneshe mfano ili iwe fundisho kwa wengine”.
Ummy amesema “Nimeona clip Mtu anang’ang’ana kumpima Mgonjwa Malaria kwa kipimo ambacho kime-expire mwenzie anamkatalia, yeye anatoa majibu ya hovyo, mwaka huu tutawajibishana”.
“Nimetoka kumwambia #MgangaMkuu wa Serikali kuna ongezeko la Uzembe, Kutozingatia Maadili, Weledi na Miongozo ya Serikali kwa baadhi ya Watumishi wa Afya, hatutomfumbia macho Mtu, tunataka tuwapate wachache tuwaoneshe mfano ili iwe fundisho kwa wengine”.