Baada ya kupokwa majukumu yake ustawi wa jamii na kusimamia watoto na kina mama waliotelekezwa naona sasa ni payback time..Maana kuna uwezekano mtu akaondoka hapa kama kiongozi wa serikali,anasema anakwenda kutibiwa moyo,lakini kumbe anakwenda kupata huduma ya kupandikiziwa mimba sababu ya matatizo ya uzazi,kitu ambacho katika "packages" ya matibabu yanayofadhiliwa na serikali nje ya nchi,hili la kupandikizwa mimba sio sehemu ya "packages" hizo.
Kupandikizwa mimba hili si deni la yule mkuu wa mkoa?
Unajua mkuu kuna watu wanatuongoza ila ukiangalia wanayoyafanya na kuyaongea,unajiuliza hivi walifaulu japo form four kweliHadi kilaza ummy mwl nae anajifanya kupangua hoja za CAG???.......ifike kipindi hawa maprofessor watulie tu pale udsm waachie vilaza waendeshe nchi
Kupandikizwa mimba hili si deni la yule mkuu wa mkoa?
Haaaa haaaaKupandikizwa mimba hili si deni la yule mkuu wa mkoa?
ndugu yangu 1.5. trillion ni nyingi mno, usizibeze kauli ya kutaka kujua zilipo, zikipatikana zitatusaidia wote bila kujali itikadi ya vyama au dini, kumbuka bunge la MAMA makinda, lilivuka ukomo wa muda hadi saa tano usiku, tukipigania tsh bilioni 321, tena hazikua za hazina zilikua za TANESCO. Tutaachaje kutaka kujua trillion Moja na nusu, ambayo sawa na tsh billion 1500? Yani inaingia mara nne na nusu ya ile hela ya Tegeta escrow tsh Bilon 321Mbona umeshikia sana bango hili swala, hapa ndipo unapopatia ujira wako nini? Mbowe & Co. wanaiba Mabilioni wengine mmekalia kumpigia makofi, achaneni na Raisi na Serikali yetu, you can go hang!
Ni upuuzi tu unaendelea .................!! Ila njia ya muongo ni fupi!!?ii kujibujibu ni kutaka kusema hii serikali haina wezi??Kwanini wanavunja utaratibuuu?Halafu kila mtu akija anasema "Sehemu kubwa ya hii report ya CAG ni ya miaka ya nyuma,hadi July 2017,lakini baada ya hapo,serikali ya awamu ya tano imebadilisha sana mambo".Kwanini wanaitoa serikali ya Awamu ya Tano katika hizi tuhuma za CAG.
.eti simba wa vitaaKupandikizwa mimba hili si deni la yule mkuu wa mkoa?
ndugu yangu 1.5. trillion ni nyingi mno, usizibeze kauli ya kutaka kujua zilipo, zikipatikana zitatusaidia wote bila kujali itikadi ya vyama au dini, kumbuka bunge la MAMA makinda, lilivuka ukomo wa muda hadi saa tano usiku, tukipigania tsh bilioni 321, tena hazikua za hazina zilikua za TANESCO. Tutaachaje kutaka kujua trillion Moja na nusu, ambayo sawa na tsh billion 1500? Yani inaingia mara nne na nusu ya ile hela ya Tegeta escrow tsh Bilon 321
Majizi yametia kibindoni bilioni 1500!!!!Mbona unajifanya hukuona Chadema walivyojibu na kuikosoa ripoti ya CAG. Au ndio ukamanda wenyewe huo, wa kujifanya kipofu?
Leo tena waziri wa Afya bi Ummy Mwalimu ameendelea "kujibu" report ya CAG.Waziri Ummy anasema eneo la deni la matibabu ya nje lililotajwa na CAG sio la awamu ya Tano,bali ni mrundikano wa madeni ya miaka ya nyuma,na hivyo serikali ya awamu ya tano isibebeshwe kana kwamba deni hilo limepatikani ndani ya miaka miwili ya uongozi wa awamu ya Tano.