saimon111
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,736
- 1,352
naomba niwashirikishe hili ndugu zanguni maana sidhani kama watanzania wanatendewa haki na kodi zao.
naibu waziri wa usafirishaji, Bwana. CHARLES TIZEBA, mpaka juzi ilikua ni siku yake ya 247 anaishi hotel ya NEW AFRICA HOTEL & CASSINO iliyopo posta tangu alipopewa uwaziri 4 may 2012.
katika hotel hiyo kuna vyumba vya $160, $180, na $300 kwa usiku mmoja tu. waziri huyu analala chumba cha $300 ambacho kapewa kupunguzo na anakilipia $250 kwa kuwa ni mteja wao wa kila siku sasa, gharama hiyo anayolipiwa na serikali ni nje ya chakula cha mchana na usiku.....
sijaishia hapo pia familia yake ikija kumtembelea ambayo huwa inakuja mara kwa mara na inakaa hotelini hapo sio chini ya wiki moja tena kwenye vyumba vya $160 (discounted $150) hapa pia huwa serikali ndio inalipa hizo gharama.
mpaka juzi gharama za chumba tu zimefikia $61,750 ambayo ni sawa na millioni 98 za kitanzania.
CONCERNS
hivi nyumba zote hapa dar es salaam serikali imekosa kabisa kumpangishia huyu bwana mpaka akalale hotel ya kifahari as if ni nyumbani kwake....?
source: The Guardian, on sunday january 13
naibu waziri wa usafirishaji, Bwana. CHARLES TIZEBA, mpaka juzi ilikua ni siku yake ya 247 anaishi hotel ya NEW AFRICA HOTEL & CASSINO iliyopo posta tangu alipopewa uwaziri 4 may 2012.
katika hotel hiyo kuna vyumba vya $160, $180, na $300 kwa usiku mmoja tu. waziri huyu analala chumba cha $300 ambacho kapewa kupunguzo na anakilipia $250 kwa kuwa ni mteja wao wa kila siku sasa, gharama hiyo anayolipiwa na serikali ni nje ya chakula cha mchana na usiku.....
sijaishia hapo pia familia yake ikija kumtembelea ambayo huwa inakuja mara kwa mara na inakaa hotelini hapo sio chini ya wiki moja tena kwenye vyumba vya $160 (discounted $150) hapa pia huwa serikali ndio inalipa hizo gharama.
mpaka juzi gharama za chumba tu zimefikia $61,750 ambayo ni sawa na millioni 98 za kitanzania.
CONCERNS
hivi nyumba zote hapa dar es salaam serikali imekosa kabisa kumpangishia huyu bwana mpaka akalale hotel ya kifahari as if ni nyumbani kwake....?
source: The Guardian, on sunday january 13