HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,366
- 94,547
Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa wa Mwaka 2023.
Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu
NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.
Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu
NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.