Waziri na maandamano

Jumakidogo

R I P
Jul 16, 2009
1,851
417
Kwa mtazamo wangu kauli ya waziri wa mambo ya ndani S V NAHODHA ya kusema kuwa maandamano yanawachelewesha kufanya kazi za ujenzi wa taifa ni uzembe wa mkubwa wa kufikiri uliojiumba katika akili yake.

Hivi kundi la wanaoandamana mara moja kwa wiki lina ukubwa gani kuliko kundi la watu wasio na ajira waliozagaa kila pembe ya nchi. Hivi ni taifa gani linalojengwa kwa sasa wakati nchi nzima inakabiliwa na mgao mkubwa wa umeme.

Wakati huo mbumbumbu wa CCM wanashangilia kwa kuunga mkono upuuzi..ole wenu! Bado kitambo kifupi sana ghadhabu za mungu zitawashukia.
 
Nape alikuwa anafanya nini huko Mbeya na Moshi.

Nahoza anajaribu kuyazuia Maandamano kwani anajua kabisa siku moja atatakiwa kujiuzuru kwa maandamano kwa utendaji wake mbovu .
Ole wako UNAESHABIKIA UJINGA WA NAHODHA siku si nyingi kuna maandamano yanakuja yatawatoa tu.
 
CCM na hofu ya Maandamano ,ha ha dhana ya maandamno sasa imekomaa,wananchi siku hizi wanayaandaa hata kama hakuna chama kilichoyaaandaa i love Chadema for the innovation
 
Back
Top Bottom