Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Vipi kaja na yule nesi wa kiume?
Mkuu jogi twendelee hivyo hivyo ili kuonyesha uzalendoMkibahatika kumuuliza swali muulize hili:-
Kwenye historia ya maisha yako umefanya mtihani wa darasa la saba mara ngapi miaka ipi?
Swali la nyogeza ikiwa jibu litakuwa (mara moja):-
Wakitokea watu wakathibitisha kuwa walifanya mtihani pamoja nawe kwa mwaka tofauti na huo unaousema je utakuwa tayari kufutiwa vyeti vyako kwa kosa la kulidanya taifa!!!
Yaani wazazi wakakosa jina la kumpa mtoto!!? ni kwa ukilaza au kaamua kuwadharau hadharani.Hivi hili jina uliloandika hapa ndilo lake alilopewa na wazazi au ndilo la daktari!?
Laazima aseme ukweli
Hivi hili jina uliloandika hapa ndilo lake alilopewa na wazazi au ndilo la daktari!?
hahaaa nesiiiiMwambie asisahau kumsalimia "nesi" aliyerithisha majina full board
Nipo hapa Ofisini naona anarikaruka na huyu mwandishi Joyce Mwakalinga naona uwezo wake wa kuhoji ni mdogo sana.Laazima aseme ukweli
Laazima aseme ukweli
Laazima aseme ukweli