Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amezungumzia kuhusu Mjadala wa Dola kuadimika unaoendelea Nchi.
Amesema watu inabidi watambue kwamba Dola sio hela yetu bali tunaipata pale tunapopata Mkopo, Msaada, tunapouza bidhaa ama Huduma nje ya Nchi ndo tunapata Dola.
Sera za kifedha za Marekani kukabiliwa na mfumuko wa bei fedha wamezirudisha fedha ndani ya Central Bank yao Marekani.
Sababu za ndani zinazofanya dola ziadimike ni Matumizi. Matumizi yake yamekuwa makubwa.
Mitambo tunayojengea Bwawa la Mwalimu Nyerere vinanunuliwa kwa Dola, Ujenzi wa Reli Mitambo yake vinanunuliwa kwa Dola, Mikopo yetu tunalipa kwa Dola.
Kwahiyo Dola inatumika sana kuliko vitu vinavyotuletea Dola.
Wafanyabiashara wa hapa, wanapopeleka bidhaa nchi za jirani hawapewi dola. Kwa sasa Sisi tuna Dola Bil 5.2 kuwazidi wenzetu.
Ukame wa dola upo pote. Hii akiba hatuitoi sababu ndo tunalipia deni ili tusije tangazwa tumefilisika
Til 11 tunalipa kwa Mwaka deni la Taifa.
Watu wanadhani ni kazi ya benki kuu kutoa dola. Dola wanapatiana kwenye soko. Mara ya mwisho Benki kuu imetoa dola 2012 hadi 2022 baada ya Uviko. Baada ya Uviko Ilikuwa inatoa Mil 500.. Kwa Sasa tunatoa Milioni 10 na bado haitoshi sababu uhitaji ni mkubwa kila sehemu.
Amesema watu inabidi watambue kwamba Dola sio hela yetu bali tunaipata pale tunapopata Mkopo, Msaada, tunapouza bidhaa ama Huduma nje ya Nchi ndo tunapata Dola.
Sera za kifedha za Marekani kukabiliwa na mfumuko wa bei fedha wamezirudisha fedha ndani ya Central Bank yao Marekani.
Sababu za ndani zinazofanya dola ziadimike ni Matumizi. Matumizi yake yamekuwa makubwa.
Mitambo tunayojengea Bwawa la Mwalimu Nyerere vinanunuliwa kwa Dola, Ujenzi wa Reli Mitambo yake vinanunuliwa kwa Dola, Mikopo yetu tunalipa kwa Dola.
Kwahiyo Dola inatumika sana kuliko vitu vinavyotuletea Dola.
Wafanyabiashara wa hapa, wanapopeleka bidhaa nchi za jirani hawapewi dola. Kwa sasa Sisi tuna Dola Bil 5.2 kuwazidi wenzetu.
Ukame wa dola upo pote. Hii akiba hatuitoi sababu ndo tunalipia deni ili tusije tangazwa tumefilisika
Til 11 tunalipa kwa Mwaka deni la Taifa.
Watu wanadhani ni kazi ya benki kuu kutoa dola. Dola wanapatiana kwenye soko. Mara ya mwisho Benki kuu imetoa dola 2012 hadi 2022 baada ya Uviko. Baada ya Uviko Ilikuwa inatoa Mil 500.. Kwa Sasa tunatoa Milioni 10 na bado haitoshi sababu uhitaji ni mkubwa kila sehemu.