Nimepata moja nyeti. kuna waziri wetu mmoja (Jina na Wizara nahifadhi) anapenda sana ndogo ndogo. hanywi pombe na ni mtu wa dini sana. Husafiri sana uswisi, marekani, adis ababa kwenye mikutano. Uswisi nasikia ana demu kabisa. namhurumia sana mke wake. Waziri huyu anatokea sehemu za mbeya....haya wana jamii...nimewapa hint...