Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,972
- 32,374
Kumbe Mbowe na Dr Slaa waliofuata Pinda Dodoma, kuomba Muafaka!
Kawakana kasema CDM wametunga hayo maneno kuwa tumekubaliana na CDM kuanza mazungumzo ya mgogoro wa Madiwani wa Arusha.
Pinda kasema mahakama zipo kama mtu kaona hakufanyiwa haki kwenye uchaguzi aende mahakamani
Kawakana kasema CDM wametunga hayo maneno kuwa tumekubaliana na CDM kuanza mazungumzo ya mgogoro wa Madiwani wa Arusha.
Pinda kasema mahakama zipo kama mtu kaona hakufanyiwa haki kwenye uchaguzi aende mahakamani