Mazoko
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 674
- 184
Baada ya BMK Leo kuanza kupiga Pinda awaomba waislamu wakubali rasmi kuwa mahakama ya kadhi haiwezekani kuwekwa ndani ya katiba hapa hekima na busara imetumika
Ilitaifa lijengwe vema dini mbili hizi kubwa zishirikiane kujenga waumini wake pamoja kuwa walinzi Wa Amani ya taifa letu Tanzania.
Bonyeza hapa chini kumsikiliza alicho sema Waziri Mkuu Mizengo Pinda
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189163&d=1412005054[/JFMP3]
Bonyeza hapa chini kusikiliza walichosema Viongozi wa dini za Kiislam na Kikristo
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189164&d=1412005054[/JFMP3]
Ilitaifa lijengwe vema dini mbili hizi kubwa zishirikiane kujenga waumini wake pamoja kuwa walinzi Wa Amani ya taifa letu Tanzania.
Jamani tuache utani, pinda ni jembe .Ametumia hekima na busara kubwa kuwashawishi waislamu kwamba mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye sheria.
Hii si mara yake ya kwanza kutatua migogoro kama hiyo.
Huyo jamaa kama ccm watampa ridhaa ya kupeperusha bendera ya ccm naona anaweza kuleta changamoto kwa chadema.
Tatizo lake kinacho mgharimu huyu mzee ni ile kauli yake ya "apigwe tu". Ila kama si hivyo namwona kama mtu makini kwenye maamuzi.
Uraisi mwakani yeyote atakayeupata kati ya Dr.Slaa na huyu pinda watanzania hawatakuwa na shaka kabisa, ila akatokea kibaka mwingine akachukua nchi itakuwa ni shiiiida.
Bonyeza hapa chini kumsikiliza alicho sema Waziri Mkuu Mizengo Pinda
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189163&d=1412005054[/JFMP3]
Bonyeza hapa chini kusikiliza walichosema Viongozi wa dini za Kiislam na Kikristo
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=189164&d=1412005054[/JFMP3]