Elly Andrew
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 404
- 165
Wahudumu wao kuhusika kuokoa ni sehemu ya eneo lao la KAZI na Wana mafunzo. Na ilibidi kuokoa ili na wao wawe salama. Lakin dogo majaliwa ni mtu asiye na mafunzo na Bado angeacha asingekuwepo wa kumdai. Alijotolewa pasina msukumo wa kutaka na yeye kuokoka.