WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,610
- 3,739
Umri wako hauendani na huo mdomo wako. Usijitie ukichaa akati ww una akili timamu.Na Wewe 'Udangaji' wako umeuacha?
Umri wako hauendani na huo mdomo wako. Usijitie ukichaa akati ww una akili timamu.Na Wewe 'Udangaji' wako umeuacha?
'Aliyekuzaa' kapona huo Ukichaa wake?Umri wako hauendani na huo mdomo wako. Usijitie ukichaa akati ww una akili timamu.
Kipanga gani? Unadhalarisha hata hicho chuo chako.Taahira kama Wewe unaweza Kunifundisha 'Kipanga' Mimi hapa JamiiForums? Huna Akili.
Majaliwa mkubwa GWIJI kwenye maeneo yote mawili UWONGO na UNAFIKiWakristo ni Wanafiki sijawahi ona aise
Na majitu yanakenua na kufurahia"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.
'Unavyodanga' Kutwa huidhallishi Familia yako na Koo zako zote Mbili na Chuo Kikuu chako ulichosoma?Kipanga gani? Unadhalarisha hata hicho chuo chako.
Eti BAMC? Huna hata media Ethics kichwani! Yaani shule ww ulipelekwa kunenepa kichwa tu'Unavyodanga' Kutwa huidhallishi Familia yako na Koo zako zote Mbili na Chuo Kikuu chako ulichosoma?
Pumbavu.
Naona hiyo Kozi yangu ya BAMC niliyoisoma inakuuma na ndiyo maana kila mara tu Unaitaja. au ulitaka nisomee Kozi yako Uliyosoma ya Udangaji, Upumbavu na Utaahira Daima ( UUUD ) ndipo Ufurahi?Eti BAMC? Huna hata media Ethics kichwani! Yaani shule ww ulipelekwa kunenepa kichwa tu
Tuliosoma chuo tuna kufunza , ww ulie pita shule.Naona hiyo Kozi yangu ya BAMC niliyoisoma inakuuma na ndiyo maana kila mara tu Unaitaja. au ulitaka nisomee Kozi ya Udangaji, Upumbavu na Utaahira Daima ( UUUD ) ndipo Ufurahi?
Majaliwa Jackson ni Pandikizi la Kipropaganda period. Amini Watu wote Tanzania ila siyo Premier Majaliwa Kassim Majaliwa sawa?Nina Wasiwasi na huyu Dogo.
Inawezekana akawa niwa Mchongo.
Dunia Simama Nishuke
Chuo cha huo Upumbavu ulionao na Udangaji unaoufanya?Tuliosoma chuo tuna kufunza , ww ulie pita shule.
Pamoja sana mkuu, huyu jamaa Wazo pigo zake na staili yake ya uandishi haina utofauti na member mmoja ambaye kila nyuzi zako anakuja kushambulia mpaka kwenye uzi huu yupo anashambulia,ila cha ajabu anaamua kutumia ID mbili tofauti kumshambulia mtu mmoja .Nakushukuru Mkuu kwa Kulitambua.
Wahudumu wawili waliponaMhudumu gani alie pona kwenye ajali ya ndege? Ebu punguzeni uongo
Utumbo kama huu ndio unajisifia kuwa una akili wewe Dada?Search Threads zangu zina akili sana. Vipi Leo uja anzisha uzi wa muuza Ngada wenu wa Simba?
Una akili timamu kweli wewe au ni mgeni hapa duniani?Ww unae sema ali sema yeye ndie alie fungua mlango. Mtaje jina na weka picha. Ali hojiwa na media gani? Weka video. Coz majina ya Marehemu na majeruhi wa ajali yote yapo hapa ktk uzi mmoja hapa JF na huyo mhudumu hajawahi jitokeza.
Nashukuru kwa kuwa na Akili Kubwa na Kumjua Mkuu.Pamoja sana mkuu, huyu jamaa Wazo pigo zake na staili yake ya uandishi haina utofauti na member mmoja ambaye kila nyuzi zako anakuja kushambulia mpaka kwenye uzi huu yupo anashambulia,ila cha ajabu anaamua kutumia ID mbili tofauti kumshambulia mtu mmoja .
Siku zote ilikuwa haingii akili mwangu kuwa mtu kutumia ID tofauti kumshambulia mtu mmoja katika uzi mmoja ila leo nimethibisha ulivyokuwa ukidai kuhusiana na hili ,na nimekubali wewe ni 'well informed person'.
WaTz wenngi ni mipan'gan'ga.Sijui ni kwanini Watanzania ni wepesi sana Kudanganyika na kufanywa Wapumbavu ( Mipan'gang'a ) Mkuu.
Hapa lengo kuu ilikuwa kufocus huyo tu tusahau shida ya kupelekea ajali"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.