JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 114
PM ameanza kushindwa mapema hivi?! Anafaa kuambiwa kuwa utendaji wa Serikali hauna uhusiano wowote na shughuli za vyama vya siasa.
Biashara kuu ya vyama vya siasa ni kufanya siasa ili kuongoza dola. Hivyo, shughuli za kushika dola zianaanza pale uchaguzi unapokwisha pasipo lengo kuu kutimia. Kinyume na hivyo kinakuwa sio chama cha Siasa.
Biashara kuu ya vyama vya siasa ni kufanya siasa ili kuongoza dola. Hivyo, shughuli za kushika dola zianaanza pale uchaguzi unapokwisha pasipo lengo kuu kutimia. Kinyume na hivyo kinakuwa sio chama cha Siasa.