Waziri Mkuu:Madktari wasiporudi kazini wamejifukuzisha,

MAGEUZI KWELI

JF-Expert Member
Jul 16, 2011
1,947
253
Serikali makini na maamuzi makini, Ni msimamizi wa shughuli za serikali na waziri mkuu wa Tanzania, Mtu mkubwa kabisa kabisa, Alisema ma DR wasiporejea job ilikuwa ni siku ya jumatatu tar 16 woote watakuwa wamefutwa utumishi wa umma,
Mnajua mtayumba sana lakini ni bora kwenda kwa kuyumba kujenga kitu kipya kuliko mfumo huu wa Madaktari kwa sasa.
Sasa maamuzi ya Serikali yalishapita, Kinachofanyika sasa mmefyaka mkia au kuna nini??
Je waziri mkuu haoni kuwa alikurupuka kutoa hukumu kabla ya kujua kulikoni?
SERIKALI MAKINI TANZANIA
 
Mh Pinda anajihaibisha sana sector ya udactari haichezewi wewe!! Afya kwanza propaganda baadae,pinda rudi kijijin katavi ukaendelee kulima tu
 
Tumejadili sana hili hapa JF...We need new stuffs buddy....
 
hawa jamaa(serikali) wakati wa kikombe kule Samunge walitoa support mbaya, sijui tume zikaundwa karibu kila wizara ikajihusisha huko, lakini kwenye ishu ya madaktari aaah wanajifanya wameziba masikio...hii ndio serikali yetu inayoongozwa na Zombies
 
Katishia nyau mtu mzima, alijua ma-interns ni kama nyau tu, alikosa kuunganisha dots, kwamba ma-interns ndio wanaowapa support kubwa magwiji....sasa specialists hawawezi kufanya kazi bila hao madokta ambao nao wanasaidiwa na ma-interns.

Its chain of commands by the way.
 
Haikupaswa kuanzishiwa thread hii, sasa habari iwapi hapa?

Habari hapo ni kwamba Waziri mkuu anapaswa kuiuzulu kwa vile agizo lake la ma dockta kurudi mzigoni halijatekelezwa na vilevile hawajafutwa kazi. Basi ajifute kazi yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom