Umenena haki kabisa. Kwanza inaongez gharama. Raisi ndio alitakiwa awe wa kwanza kwenda Dodoma. Ili mawaziri waone aibu kubaki DSM. Napenda Dodoma iwe makao makuu. Lakini anatakiwa Rais wa Jamhuri aanze kwenda Dodoma. Vinginevyo ni usanii tu.Kuhamia kwake Dodoma kuna mpunguziaje ukali wa maisha bibi yangu aliyeko kijijini wakati Huduma za jamii zikiwa mbovu kupindukia?!
Afadhali yy kafanya jambo zuri sasa msafara wake umepungua Dsm , misafara mingine iliyobakia ingehamia huko haraka angalau jiji lipumue na foleni huku maendeleo yakisambaa mikoa yote hususani mikoa wa moro ambao ni njia ya kuelekea Dodoma.Ni vizuri kutimiza ahadi yake, si kama wengine waliosema ndani ya wiki tatu , wawe dodoma. Waziri mkuu hongera, umedhubutu na umeweza. Tunataka viongozi kama nyie. Ila wengine waliosema wanahamia lkni hawajaenda ni bora utengue uteuz wao
Hilo jinga Profeselii linalala buguruni ofisini na waganga 50 wa kienyeji ni vigumu lihamie Dodoma labda mchepuko wake sakaya ukimshauri wanaweza kuhamia huko.Ahame na Lipumba wake
Asipohamia itabidi serikali wawaombe china wawasaidie mbinu ya kufunga mitandao ya habari maana lazima atashambuliwa sana.Anahamia usiku wa leo (bila shaka), maana hakuna namna nyingine.
watu wanasubiri kwa hamu yaani asipohamia ajiandae kwa vijembe vya hapa na paleYalikuwa matamko ya mwendokasi,kesho atakuwepo Dar es Salaam na sio Dodoma.
Nani anahamisha magoli,hivi umeelewa kilichoandikwa kwenye hilo tangazo?kwa akili yako unadhani PM anakwenda Dodoma kuhamia mazima,anakwenda kwenye maadhimisho ya Mashujaa na pia ziara,wewe Mzee unazeeka vibaya.Wahamisha magoli hawarudi kwenye hili...
Huyo bibi yako kaishajichokea...ni wakati wa wewe kumtumia chochote kilamwezi na sio kisubiri Serikali inhudumie...Kuhamia kwake Dodoma kuna mpunguziaje ukali wa maisha bibi yangu aliyeko kijijini wakati Huduma za jamii zikiwa mbovu kupindukia?!
twamkaribisha na kumpokea.kwa mikono miwiliHii ni kutoka kwenye magazeti ya leo