KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Katika Bunge lilopita tuliweza kushuhudia Waziri Mkuu akikalishwa chini Mara 3 Na spika wa Bunge A.Makinda!Pale walipotakiwa kupiga kura ya ndiyo Baada ya Zitto Kabwe kumwambia spika kuwa kauli zimeshabihiana hivyo ipigwe kura!!Kamakiongozi wa shughuli za serikali Bungeni je ilikuwa halali kwa Spika kumdharilisha Waziri Mkuu Kwakumnyima kueleza Mawazo yake??Au Spika anaona Waziri Mkuu ana udhaifu ndiyo maana anfanya hivyo?